derby ya kariakoo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. LAPSE RATE

    Maoni yangu juu ya kuahirishwa kwa derby ya Kariakoo

    MAONI YANGU JUU YA KUAHIRISHWA KWA MECHI YA WATANI WA JADI KATI YA YANGA DHIDI YA SIMBA MAARUFU KAMA KARIAKOO DERBY YA TAR. 8/03/2025 Naanza kwa kuwasalimia wadau na wapenzi wa soka. Naomba nieleweke kwamba ninaandika makala hii nikiwa nimeweka ushabiki wangu pembeni. Iko hivi, yaliyotokea...
  2. Waufukweni

    Tetesi: Inaelezwa Ali Kamwe kafungiwa miaka 2, Ahmed Ally anusurika na rungu la TFF

    Wakuu Kama kweli adhabu ndio hizi una mtazamo gani? Kuna kitu kitapungua kwenye Soka la Bongo? Ikumbukwe, Mameneja hao wa Habari na Mawasiliano wa vilabu vya Simba Sc na Yanga Sc, Ahmed Ally na Ally Kamwe wote waliitwa kwenye Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF)...
  3. Waufukweni

    Mzee Azim Dewji: Arajiga akichezesha najua Simba wataonewa

    Mdau mkubwa wa michezo nchini na Mwanachama wa Klabu ya Simba, Mzee Azim Dewji amefunguka kuhusu waamuzi ambao watachezesha Dabi ya Kariakoo. Wakati huo huo, kamati ya Waamuzi nchini inemtangaza Ahmed Arajiga kuwa ndio mwamuzi wa mchezo wa tarahe 8 pale Dimba la Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam.
  4. kavulata

    Derby ya Kariakoo TFF na Bodi ya ligi lindeni mali za uwanja kwa mchezo safi.

    Asikwambie mtu bhana, Simba na Yanga ndizo timu zinazoendesha biashara ya mpira nchini; hata timu nyingine na Dar na mikoani mapato yao yanazitegemea Simba na Yanga; wadhamini wooote wanadhamini mpira kwasababu ya Simba na Yanga. Hivyo, nisingeona ajabu kama mechi zoooote zinazozihusisha Simba...
  5. The Watchman

    Wachezaji wa kuchungwa kuelekea Derby ya Kariakoo, Yanga Vs Simba

    Derby ya Kariakoo kati ya Yanga na Simba ni moja ya mechi kubwa zaidi nchini, ikijaa ushindani ndani ya uwanja na tambo kutoka kwa mashabiki wa timu hizo mbili za mtaa wa Kariakoo. Hapa ni nyota wa kutazama kwenye derby hii. Kibu Denis Tangu ajiunge na Simba, Kibu amekuwa mwiba hasa kwenye...
  6. Teko Modise

    Juma Ayo: Refa wa mechi ya Namungo dhidi ya Simba apewe Derby ya Kariakoo, anajua kutafsiri vyema sheria za soka

    “Refa wa leo apewe derby nimependa namna ambavyo ametafsiri sheria ya mpira, Simba penalty zote 3 ni clear kabisa hakuna doubt hata kidogo. Huu mpira tunaucheza na tunaujua lazima tuwe wakweli Kudos kwa mwamuzi...hajaangalia idadi ya penalty anazotoa ameangalia zaidi matukio” Hayo ni maneno...
  7. ngara23

    Derby ya Kariakoo kupigwa tarehe 8 March

    Bodi ya ligi imepanga maboresho ya ratiba ya ligi kuu NBC, huku ikiipa Derby ya Kariakoo tarehe 8 March Simba pia atarudiana na Azam tarehe 24 March katika Mzizima derby, huku Yanga wakirudiana na Azam tarehe 10 April Usiku wa deni hauchelewi Kumbuka Simba alipigwa ataingia kwenye record ya...
  8. MwananchiOG

    5/11/2023 - Leo katika Historia, Yanga yaibuka na ushindi wa bao TANO (5) katika derby ya Kariakoo, Unakumbuka nini kabla ya mchezo siku hii?

    Tarehe kama ya Leo mabingwa wa nchi, Young africans sc, Yenye makazi yake Jangwani, Dar es salaam, Ilifanikwa kutoa somo na onyo kali kwa kumkung'uta kichapo kikali mpinzani wake katika derby ya Kariakoo, Je ulitazama mchezo ukiwa wapi siku hii? Hisia kabla ya mchezo zilikuwaje na ulipokea...
  9. Dabil

    Derby ya Kariakoo ichezeshwe na Marefa kutoka nje

    Marefa toka nje wawe wanachezesha derby ya kariakoo,inashangaza marefa wa ndani kurudia makosa yale yale kubeba timu moja.  Sehemu ambayo kadi nyekundu inatakiwa haitolewi,penati zinazostahili zinaminywa kubeba timu flani. Rushwa nje nje, Chama anaingia kupiga foul aliyotengenezewa mazingira.
  10. Teko Modise

    Kuelekea Derby ya Kariakoo kesho, tabiri tukio gani la kisiasa litajitokeza

    Kama mnavyojua, Simba na Yanga ndio mtaji wa wanasiasa wa Tanzania. Hebu tabiri unahisi tukio gani la kisiasa lazma litajitokeza uwanjani?
  11. Dalton elijah

    Wachezaji waliofunga mabao mengi katika derby ya Kariakoo tangu 2010

    📊 𝗞𝗔𝗥𝗜𝗔𝗞𝗢𝗢 𝗗𝗘𝗥𝗕𝗬 Wachezaji waliofunga mabao mengi katika derby ya kariakoo tangu 2010 . ⚽ 3 - Stephane Aziz Ki 🇧🇫 ⚽ 3 - Shiza Kichuya 🇹🇿 ⚽ 3 - Amissi Tambwe 🇧🇮 ⚽ 3 - Emmanuel Okwi 🇺🇬 ⚽ 3 - Hamisi Kiiza 🇺🇬 ⚽ 3 - Mussa Mgosi 🇹🇿 ⚽ 3 - Jerry Tegete 🇹🇿 ⚽ 2 - Simon Msuva 🇹🇿 ⚽ 2 - Meddie Kagere 🇷🇼 ⚽...
  12. Dabil

    Utabiri wangu Yanga vs Simba!

    Yanga atafunga goli 1 na Simba atafunga magoli mawili. Yanga 1 -2 Simba.
  13. Frank Wanjiru

    Aliyekuwa Kocha wa Makipa Simba, Dan Cadena amwaga mboga Msimbazi, "wanaajiri wasio na weledi", alezea kipigo cha 5-1

    "Tatizo kubwa la Simba ni kuajiri watu wasio na weledi. Kama Simba SC wanataka kufanikiwa wanapaswa kuachana na watu wasio na weledi" "Simba kwa sasa inahitaji 'PROFESSIONAL PEOPLE' watu wenye Ueledi, wasipewe nafasi kwa sababu wanajuana na watu au Sababu wanaijua Sana Simba bali wanahitaji...
  14. KAGAMEE

    Weka hapa tukio lililokushangaza kwenye derby ya Kariakoo

    Tabuleeeeeeee Binafsi tukio la ajabu nililolishuhudia ni MIKIMBIO YA MGENI RASMI pamoja na maajabu ya OBJECTIVE FOOTBALL Twende kazi.
  15. maroon7

    Wapi naweza angalia Derby ya Kariakoo hapa Nairobi?

    Wakulu wa nchito, Naomba anaejua wapi kwa hapa Nairobi naweza angalia Derby ya Simba na Yanga anifahamishe hasa pande hizi za Westland maana wiki ya Derby imenikuta huku bila kutarajia. Natanguliza shukrani
  16. Dr Matola PhD

    Kesho ni derby ya Kariakoo, lakini TFF haijawatendea haki waislam

    Ni logic ndogo tu na ya kawaida, Simba wamechezeshwa mechi SAA 4 usiku kwa SAA Morocco siyo kwamba wamefanyiwa figisu ila ni kuheshimu tu mfungo wa Ramadhani. Je TFF hawajaliona hili? wachezaji na mashabiki waliofunga wanafuturu SAA ngapi? Mimi siyo mwislamu lakini najuwa adhana ikipigwa...
  17. MTAZAMO

    Kuelekea derby ya Kariakoo, Tahadhari muhimu kwa Simba!

    Wakuu, Kipute cha Kariakoo deby kimekaribia, mimi kama shabiki wa Lunyasi nina maoni yafuatayo kuelekea siku hiyo. 1) Ubora wa Yanga ni Nabi, Nabi amefanikiwa kusumbua makocha wengi kimbinu sababu akili zao huzama kwenye wachezaji hatari kama Mayele kuliko akili ya Nabi. Kwa muda mrefu Nabi...
  18. Suley2019

    Mechi gani ya Watani wa jadi (Simba na Yanga) unaikumbuka zaidi?

    Habari zenu wakuu, Leo katika pita pita zangu katika mtandao wa YouTube nikakutana na vipande vinavyoonesha mechi mbalimbali za Simba na Yanga. Nikiwa kama mdau ma mfuatiliaji wa soka la nyumbani mara nyingi huwa naona mechi zinazoikutanisha Miamba hii ya soka nchini huwa zinakosa mvuto...
Back
Top Bottom