Ah naitwa Ernest. Natafuta gari ya hesabu. Haijalishi ni namba ya private au commercial. Na leseni class C.
Na uzoefu wa miaka 4 kwenye Uber n Bolt.
No yangu:
0783610244
0783610244
0783610244
Habari za muda huu waungwana.
Nina leseni ya udereva yenye madaraja A, A2, B, D, E, F & G. Je nitaweza kujisajili kama dereva wa Bolt, Uber, Faras, nk kwa kutumia leseni yenye madaraja haya?
Natanguliza shukrani.
Umepata Changamoto gani wakati umetumia usafiri wa Bolt, Farasi au Uber?
Juzi kati hivi niljikuta katika migogoro moja na dereva wa bolt, Nilipanda bajaji kutoka palm village nikiwa naelekea Temeke.
Tufika njia panda ya Morocco na alinuliza tunapita njia gani, nikasema napendelea ya magomeni...
Habari!
Naitwa Ashraf, nina miaka 25, Elimu yangu ni Kidato cha 4, nimesoma VIP pale NIT. natafuta gari ya kufanyia kazi (Tax Mtandao). Nipo tayari kwa mkataba au hesabu. Nina uzoefu kama Dereva pamoja na uaminifu wa hali juu.
Nina Leseni hai, nimesoma VIP na nina kitambulisho cha taifa (NIDA)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.