Wakuu nimekubali baadhi yetu hatuwezi kuridhika 100% kwa tunachokipata.
Kuna kipindi nilitamani sana kama ningekuwa japokuwa na ka-take home ka 800k na baada ya kufanikiwa kupata nikaona hapa bado sana.Sasa hivi nina 1.6m kama take home na bado naona nahitaji kupata zaidi.Yaani najiona choka...
Rais Mstaafu Joseph Kabila inasemekana hakuwa mtoto halisi(Biological Son) wa Rais Mstaafu Joseph Desire Kabila. Inasemekana jina halisi la Joseph Kabila ni Hypolite Kanambe Kazemberembe akiwa na asili ya Kitusi kutoka nchi ya Rwanda.
Pamoja na machapisho mengi kumtambua Joseph Kabila kama...
I'll keep this short... as short as a lunch break 'quickie' with that slim sexy secretary nextdoor.
Iko hivi, mwanamke yoyote yule hapa duniani ana tamani kuwa 'dominated' mara kadhaa au mara zote (kwenye sexi). Hata wale feminists wanaopinga, wao pia hawawezi kushindana na hii saikolojia yao...
Nakumbuka nikiwa mdogo jinsi nilivyotamani kuishi kwenye nyumba ya kifahari kama ambazo walikua wakiishi rafiki zangu ambao walikua watoto wa matajiri na wengi walikua waarabu..Baba zao walikua wenye company za ASAS, F.M Abri, Estate Co, OilCom, Temeke Bakery na wengineo ikiwemo na baadhi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.