deusdedith soka

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Rais Samia, waeleze Watanzania Deusdedith Soka yupo wapi?

    Ndugu rais. Nakusabahi, hata hivyo nina swali kwako. Ni zaidi ya miezi sita sasa, kijana, mtanzania amepotea. Umma wa Watanzania umepiga kelele kuhusu kupotea kwa kijana huyu lakini siyo ofisi yako wala wewe uliyeamua kulizungumzia suala hili. Ndugu rais, ulipoapa kuwa rais uliapa kuwa amiri...
  2. Waufukweni

    Pre GE2025 BAVICHA wafika nyumbani kwa Bibi yake Soka, washerehekea Krismasi pamoja

    Vijana wa CHADEMA kutoka Kanda ya Kaskazini walijumuika kusherehekea Sikukuu ya Krismasi nyumbani kwa bibi yake Deusdedith Soka, huko Kibosho. Hafla hiyo pia iliadhimisha siku ya kuzaliwa ya Soka, ikileta furaha na mshikamano kati ya viongozi na wanachama wa chama hicho. Pia, Soma: Mke wa...
  3. sonofobia

    Mbowe hakumtaja Soka na wenzake kwenye hotuba yake badala yake akasifia uongozi wa Rais Samia. Atalipia machozi ya waliopotea

    Kijana Deus Soka umeipambania Chadema kwa jasho na damu. Mara kadhaa umekaa jela, umepigwa, umeumizwa umepitia madhila mengi ukiamini unapigania mabadiliko ya kweli. Ulikuwa mstari wa mbele kuipigania katiba mpya tulikuona ukipigwa virungu na mateke ulipojitokeza na wenzio kumi maandamano ya...
  4. Mwanadiplomasia Mahiri

    Hivi Deusdedith Soka ndio amezimwa kama alivyozimwa Ben Saanane?

    Deusdedith Soka amepotea kimzaha mzaha. Miaka ya nyuma alitoweka Ben Saanane kama utani mpaka leo hatujawahi kumuona tena. Je ndio washamalizana na Soka? Pia soma Soka yupo wapi? Tuambieni kama mmemficha au mmemuua tujue moja
  5. Cute Wife

    Utekaji kuhusishwa na uhasama wa kibiashara ni namna ya kuwaepusha wahusika halisi kuwajibika? Tukio Dar24 limeishaje?

    Wakuu, Nadhani wengi tumekutana na tulio lililotrend jana, video ya inayomuonesha 'Bonge' akipambana na watu waliokuja kumteka na kufanikiwa kuwazidi nguvu, wakimuachia zawadi ya pingu. Kama mpaka sasa hujakutana na tukio hilo basi pitia hapa. Kutokana na taarifa ya polisi, Bonge ni...
  6. Mshana Jr

    KUTEKWA KWA DEUSDEDITH SOKA NA KISA CHA BEN SAANANE

    Ben Saanane alikuwa mmoja wa wanaharakati wa kisiasa wenye sauti kali ndani ya CHADEMA, hususan akifahamika kwa msimamo wake wa kukosoa serikali ya wakati huo. Kabla ya kupotea, Ben alikuwa ameandika makala kadhaa na kutoa matamko ambayo yaliibua mjadala mkubwa, na baadhi ya kauli zake zilikuwa...
  7. Kaka yake shetani

    Polisi watafanya nini baada ya kuamriwa na Mahakama kuhakikisha watekaji wanafikishwa Mahakamani?

    Bungeni umesikia kauli ya spika kuhusu hafahamu lolote wala hakuna utekaji kuwa hupo tanzania. hii kauli yake nayo inakuwa sawa na raisi kusema ni drama. huku jeshi la polisi matukio mengi ya utekaji wamekuwa wakikanusha au kupuuzia linapotokea. Sasa matumbo joto huko wizara ya mambo ya ndani...
  8. Gemini AI

    Mahakama yaamuru Polisi kuwatafuta viongozi wa BAVICHA (kina Deusdedith Soka) waliopotea

    Jaji Wilson Dyansobera kutoka Mahakama kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam amesema baada ya Mahakama kusikiliza hoja za pande zote mbili (2) na kupitia kwa makini kiapo cha mwombaji aitwaye Mohammed H. Zimu ambaye ni rafiki wa karibu wa Deusdedith Soka na wenzake wawili (2) imejiridhisha...
  9. Mshana Jr

    KUTEKWA KWA DEUSDEDITH SOKA NA KISA CHA BEN SAANANE

    Ben Saanane alikuwa mmoja wa wanaharakati wa kisiasa wenye sauti kali ndani ya CHADEMA, hususan akifahamika kwa msimamo wake wa kukosoa serikali ya wakati huo. Kabla ya kupotea, Ben alikuwa ameandika makala kadhaa na kutoa matamko ambayo yaliibua mjadala mkubwa, na baadhi ya kauli zake zilikuwa...
  10. JanguKamaJangu

    Sakata la kutoweka Soka na wenzake, Serikali yasema haina uhakika iwapo wako Polisi

    Masjala ndogo ya Dar es Salaam kuhusu kesi iliyofunguliwa na Wakili Wakili Kisabo kuhusiana na madai ya kutoweka kwa mwanaharakati kijana Deusdedith Soka na wenzake wawili. Soma Pia: Kutoweka kwa Soka na wenzake, IGP, DPP, OCCID Temeke kufikishwa Mahakamani kwa Hati ya dharura Chanzo: Jambo TV
  11. Mkalukungone mwamba

    Mwanaharakati Deusdedith Soka ametoa wito kwa vijana wote Tanzania kuungana katika kupinga vitendo vya utekaji vinavyoendelea

    Agosti 5, 2024 - Mwanaharakati Deusdedith Soka, akizungumza kwa niaba ya vijana wa CHADEMA, ameeleza changamoto mbalimbali zinazowakabili vijana nchini Tanzania. Katika mkutano na waandishi wa habari, Soka ameonesha wasiwasi kuhusu ukosefu wa ajira kwa vijana, akisema kwamba licha ya vijana...
Back
Top Bottom