devotha minja

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Pre GE2025 Devotha Minja: Miaka mitano inatosha viti maalumu

    Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Kanda ya Kati, Devotha Minja amesema ni sahihi kuweka utaratibu wa ukomo wa ubunge na udiwani wa viti maalumu. Devotha aliyewahi kuwa mbunge wa viti maalumu amesema inapaswa kila baada ya muda fulani mwanamke ajengewe uwezo kwa kufikia...
  2. Pre GE2025 Yupo wapi Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kati Devotha Minja? Haonekani kwenye mapokezi ya Lissu

    Wakuu nilitegemea maandalizi na mapokezi ya kumpokea mwenyekiti wa Chadema taifa Tundu Lissu yangekuwa yanaratibiwa na mwenyekiti wa chama kanda ya kati Devotha Minja. Lakini atumuoni wakati hili ni eneo lake la kiuongozi kwenye chama. Je, Tundu Lissu amemtenga au bado Lissu ameshindwa...
  3. Devotha Minja: Namshangaa Hussein Bashe kutaka Bodaboda za Maafisa Ugani zifungwe GPS

    "Namshangaa Hussein Bashe anataka pikipiki za maafisa Ugani zifungwe GPS, mbona wao kwenye V8 zao hawajafungiwa" Devotha Minja. Mbunge wa wananchi Jimbo la Morogoro Mjini. Chanzo: Jambo TV === Devotha Minja, ambaye alikuwa mgombea ubunge wa Jimbo la Morogoro Mjini kwa tiketi ya CHADEMA...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…