dewji

  1. Mwanza: Watano mbaroni kwa utapeli wa kutumia majina ya Taasisi za Salma Kikwete na Mo Dewji Foundation

    Watu watano mkoani Mwanza wamefikishwa mahakamani wakishitakiwa kwa jumla ya makosa 16 ikiwemo kujipatia fedha zaidi ya shilingi milioni 10 kwa njia isiyo halali na kufanya utapeli kwa kutumia majina ya taasisi za mama Salma Kikwete na Mo Dewji Foundation kwenye mitandao ya kijamii. Wakisoma...
  2. Mo Dewji aanzisha petition ya kumuomba Rais Magufuli kubadili jina la Uwanja wa Taifa kuwa Uwanja wa Benjamin Mkapa

    Anaandika Mo Dewji:-Leo nimeamua kuanzisha petition (maombi) kwa Rais wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt John Pombe Magufuli kubadili jina la Uwanja wa Taifa kuwa: Uwanja wa Benjamin William Mkapa. Amesema Itakuwa ni heshima kubwa kama uwanja wetu pendwa utaitwa jina la Uwanja wa...
  3. Wakati matajiri duniani wakitoa misaada kukabiliana na COVID-19, Mo Dewji yeye anauza vitakasa mikono

    Sikutegemea katika hali Kama hii ya janga la Corona wale wenye Unafuu kwenye jamii yetu kufanya Biashara katika taharuki Kama hii. Nasikia hiki kitakasa Mikono Cha Mo Dewji anaviuza, sina shada naye kwa kuwa ni mfanyabiashara ameona hii ni Fursa. Matajiri wenzake wanafanyaje duniani? 1. Jack...
  4. Mohamed Dewji and a beautiful inspiration quote from the Holy Bible

    As seen from Instagram # I once told you. Matajiri wengi huwa wapo so versatile when it comes to spiritual issues. Tajiri au kiongozi kuwa Mktisto au Muislamu hakumzuii kwenda kutafuta msaada wa kiroho kwa kiongozi au mpakwa mafuta "Annointed/ spiritually gifted person" from the other...
  5. MO Dewji, Simba hujauziwa usipachike vyeo watu uwapendao na wasio na mchango wowote, wenye timu tupo tukiamua hata kesho asubuhi unaondoka

    Ni kikao gani cha timu ya Simba kilichoidhinisha mtu asiyejua lolote kwenye soka aitwaye Makonda kuwa Mshauri Mkuu? Nakala : OKWI BOBAN SUNZU
  6. Turudi tena kwa Mohamed Dewji

    Mwaka jana ilisemekana na ndivyo hadi leo inaminka kuwa MO alitekwa. Nimesema inasadikika kwa kuwa hadi leo watekaji hawakukamatwa na MO alirudishwa. Jana Mo baada ya mechi ya Simba na Mtibwa kule Zanzibar aliandika twitter kuwa anachia nafasi ya uenyekiti kwenye bodi. Leo mida ya saa nne...
  7. Mo Dewji akana kujiuzulu Uenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba na Kubakia kuwa Mwekezaji

    Muda mfupi baada ya Simba kupoteza fainali ya kombe la mapinduzi dhidi ya Mtibwa, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba ametangaza kujiuzulu katika nafasi hiyo na kubaki kuwa mwekezaji tu. ====== UPDATES: ======== Mwenyekiti wa Bodi ya Simba, Mohammed Dewji kupitia ukurasa wake wa...
  8. Kesi kutekwa MO Dewji yaahirishwa mpaka Januari 21

    Kesi hiyo ilitajwa jana mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi, Rashid Chaungu baada ya Hakimu Mkazi Mkuu, Huruma Shaidi, aliyepangiwa kusikiliza kesi hiyo kwenda likizo. Wakili wa Serikali, Faraji Nguka, alidai kuwa upelelezi wa kesi hiyo haujakamilika, hivyo aliiomba mahakama kupanga tarehe...
  9. Niwe bilionea kama Mo Dewji? Bongo stand up comedy

  10. R

    Afisa mauzo wa METL (Mo Dewji) pale Liberty, Mwanza ni janga

    Huyu Afisa Mauzo wa METL pale Liberty Mwanza ni hovyo kabisa. Asubuhi wateja wakienda kununua mzigo unamkuta anavuta sigara na kutafuna ugoro, anamajibu ya hovyo hovyo tu kwa wateja na kiburi juu, bahati yao hakuna sehemu nyingine ya kupatia mzigo tungeshawahama. Ujumbe huu uwafikie wahusika wa...
  11. F

    Sijafurahishwa na usomaji magazeti wa Maulid Kitenge kuhusu Mo Dewji

    Maulidi Kitenge ambaye ni mtangazaji nguli, aache utani kupitiliza. Eti watekaji walimvisha Dewji khanga, anauliza kwanini khanga? Ya wapi? Maneno kwenye kanga yaliandikwaje? Maulidi wewe kuna leo na kesho na ukitekwa wewe huenda hata wasikuvishe chochote.
  12. Tanzania billionaire Mohammed Dewji told kidnapper to shoot him

    Tanzania billionaire Mohammed Dewji told kidnapper to shoot him Tanzanian billionaire Mohammed Dewji has said that he asked his kidnapper to shoot him six days into being held captive. His abduction, 12 months ago, outside a hotel gym in the country's main city, Dar es Salaam, sparked a huge...
  13. Mo dewji

    Jamani nahitaji kupata mkopo kwa huyu bilionea Mohammed Dewji kama kuna kuna mdau yeyote aliyewahi kukopa kwenye kampuni ya huyu bilionea naomba mwongozo wake Asante
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…