dhamana boniface malisa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    Dhamana ya Boniface Jacob yadunda, aendelea kusota Rumande

    Wakati Jeshi la Polisi likikiri kumshikilia kada wa Chadema na mwanamitandao, Boniface Jacob maarufu ‘Boni Yai’, wakili wa chama hicho, Hekima Mwasipu amesema mteja wake amekosa dhamana. Mwasipu amesema, Jacob anatuhumiwa kwa kosa la kusambaza taarifa za uongo na sababu za kukosa dhamana jana...
  2. Erythrocyte

    Hatimaye Malisa na Boniface Jacob waachiwa kwa dhamana

    Wawili hao wamewekwa mahabusu kwa masaa zaidi ya 40 kwa kosa linalodaiwa kuwa Uchochezi na kuzua Taharuki. Walikamatwa na Jeshi la Polisi kwa amri ya RPC Muliro ambaye ndiye mlalamikaji Mkuu , bado haijafahamika siku ambayo watafikishwa Mahakamani. PIA SOMA - Kamanda Muliro: Malisa GJ...
Back
Top Bottom