dhamana dkt slaa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    Pre GE2025 Kesi ya Dkt. Slaa imeahirishwa mpaka Februari 18, 2025

    Kesi ya kusambaza taarifa za uongo kwenye Mtandao wa X inayomkabili wanasiasa mkongwe nchini, Dkt. Willibrod Slaa (76) itatajwa leo Februari 6, 2025 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam. Dk Slaa anadaiwa kutenda kosa hilo chini ya kifungu cha 16 cha Sheria ya Makosa ya...
  2. S

    Pre GE2025 Lissu ni kweli Dkt. Slaa sio tishio kwa serikali lakini hana adabu. Huwezi kumzushia Rais mambo ya kijinga

    Dkt Slaa amedai kuwa Rais aliongea na Mbowe na akampa mzigo wa kumsaidia kushinda uenyekiti wa Chadema, watanzania wamesoma habari hizo, wameona, wamesikia na wanaambiana kwenye vijiwe vya kahawa, navyomfahamu Mhe.Dkt Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania sio mtu...
  3. Waufukweni

    Pre GE2025 Mahakama Kuu yaagiza dhamana ya Dkt. Slaa ishughulikiwe haraka

    Mahakama Kuu ya Tanzania, masijala kuu jijini Dar Es Salaam imegiza shauri la mwanasiasa Mkongwe Nchini Dkt. Wilbroad Slaa lirejeshwe katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa ajili ya kushughulikiwa kwa dhamana yake. Dkt. Slaa na jopo la mawakili wake walifungua shauri la mapitio la kesi yake...
  4. Mashamba Makubwa Nalima

    Shauri la dhamana ya Dkt. Slaa kusikilizwa leo Mahakama Kuu ya Tanzania

    Wakili Peter Madeleka amedai mahakamani hapo kuwa dhamana ni haki ya mtuhumiwa kifungu cha 148 (5) kimeweka masharti yanayoweza takapelekea mtuhumiwa kunyimwa dhamana . Amedai kuwa Dk. Slaa amenyimwa dhamana kwa sababu alitengeneza Hakimu Mkazi Mkuu Beda Nyaki. "Sisi maoni ni makosa kwa haki...
  5. Mindyou

    Pre GE2025 Mahakama yamnyima dhamana ya Dkt. Slaa kwa kile kinachodaiwa ni hofu ya usalama wake

    Wakuu, Baada ya kukamatwa usiku wa kuamkia leo Januari 10, 2025 mwanaharakati Dkt. Wilbroad Slaa na kufikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar Es Salaam, dhamana yake imekwama kwa kile kinachodaiwa hofu juu ya usalama wake. Akizungumza baada ya kutoka mahakamani hapo Rais wa Chama cha...
Back
Top Bottom