dharau za mawakala

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mawakala wa huduma za fedha kwa mitandao ya simu acheni dharau

    Nimefika kwa wakala kwa lengo la kutoa pesa kutoka mtandao wa simu, anasema hana salio la kutosha. Wakati huo naona watu wengine wanatoa na wanaondoka. Aliniuliza unatoa kiasi gani nikamwambia 3000/= ghafla akakunja sura na kusema hana salio. Sasa kosa langu ni lipi hapo? Au hicho kiasi ni...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…