dhoruba

Dhoruba al-Mujahid bin Wahad (born Richard Earl Moore; 1944) is an American writer and activist, Black Panther Party leader and co-founder of the Black Liberation Army. Dhoruba, in Swahili, means "the storm".

View More On Wikipedia.org
  1. Baadhi ya Wamarekani wafariki kutokana na dhoruba ya baridi(winter storm)

    Habari wakuu! Mpaka sasa watu watano wameripotiwa kufa kutokana na dhoruba ya baridi iliyotokea baadhi ya maeneo ya Marekani. Dhoruba hii imepelekea baadhi ya shule kufungwa, kero za usafiri na kukatika kwa umeme. Pia hali ya dharura imetangazwa kwenye majimbo ya Maryland, Virginia, West...
  2. T

    Watanzania bara na visiwani ombeni juu ya uchaguzi 2025

    Ndugu zangu watanzani kuna Mungu ktk Taifa la Tanzania ukiacha vyombo vya ulinzi na usalama na serikali pamoja na viongozi wake Mungu yupo. Mungu anazungumza na watanzania, Mungu anazungumza na watawala. Hakuna alie juwa siku moja nitakuwa kiongozi wa juu wa Taifa yote huja kwa rehema na neema...
  3. SoC04 Tutengeneze msingi ulio bora kuhimili dhoruba zitakazo tukabili baadae

    Naam kilicho bora na imara hujengwa katika misingi iliyo bora na imara Tanzania tunayoitaka iko mikononi kwa wazee ambapo yapaswa kukabidhiwa kwa vijana na watoto, maarifa na ujuzi ni vitu muhimu vya kutuvusha kuifikia Tanzania tunayoitaka. Elimu itolewayo mashuleni izidi kuboreshwa isiishie...
  4. ushawahi kumbwa na dhoruba ukiwa peke yako

    nakumbuka siku moja nimetoka singida naenda manyara kwa baiskel ilikuwa ni masika, nikiwa katikati ya mbuga ilikuja mvua ya ghafla ambayo sikuitarajia kurudi nyuma ni mbali na ninapokwenda ni mbali ikabidi nikomae tu hivo hivo basi bhana, baiskel ikabana matope kwenye madgad ikawa haitembei...
  5. Amerika katika njia panda. Atatoboa dhoruba hii?

    Uchumi wake unaendelea kudorora kwa dola yake kuadimika, ukomo wa deni la taifa ni kitendawili.... Electrol collage! Je, tulaumu electrol collage kuchukua nafasi ya wananchi katika demokrasia?!
  6. Philippines: Dhoruba ya udongo yaua watu 100, na mamia hawajulikani walipo

    Takriban watu 100 wamekufa katika moja ya dhoruba mbaya zaidi zilizoikumba Ufilipino mwaka huu huku wengine kadhaa wakihofiwa kutoweka baada ya wanakijiji kukimbilia kwenye njia iliyokumbwa na maporomoko ya udongo na kufukiwa na matope yaliyojaa mawe. Watu takriban milioni 2 wamepoteza makazi...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…