dhulma kwa mafukara

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kiongozi aliyemezwa na tamaa kwa kuwadhulumu mafukara haamini kama kuna siku ya kiama

    Wewe ni kiongozi. Unaona watu unaowaongoza wanalalamikia uvunjifu wa katiba, kanuni, miongozo, na taratibu ambazo wewe kiongozi kwa viapo vyako na ahadi yako kwa CCM uliahidi kuvilinda, kuvitetea, na kuvihifadhi. Mheshimiwa Rais anasisitiza haki, lakini wewe husikii; umeweka pamba masikioni...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…