Mnamo mwezi Agosti kuliibuka tetesi kwamba kutakuwa na kupunguzwa kwa wafanyakazi katika mgodi wa Williamson Diamonds Limited uliopo katika umiliki wa Petra Group kutokana na sababu za kushuka kwa bei ya almasi katika soko la dunia.
Hata hivyo baada ya vikao kufanyika pamoja na voingozi wa...
Almasi au diamonds ni aina ya vito vyenye thamani kubwa sana vinavyoundwa na kaboni iliyoshinikizwa kwa muda mrefu chini ya ardhi.
Almasi hutumiwa sana katika mapambo kama pete za kuchumbiana au za ndoa, mikufu, na masanduku ya vito. Pia, hutumiwa katika viwanda kama vile elektroniki kutokana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.