Yule mdaka mishale kipa mahiri kabisa barani Africa,Djigui Diara amemwandikia wakala wake akitaka kumtafutia timu haraka dirisha hili dogo.
Lakini wanasheria wake pamoja na wakala waliguna maana gharama za kuvunja mkataba ni zaidi ya milioni 500.
Diara anadai hana furaha jangwani sababu ya...
Wakuu
Huyu golikipa wa Yanga naona kama amerelax sana. Kwanini hajitumi? Mechi kadhaa nikiangalia magoli anayoruhusu si magoli ambayo anajituma.
Mfano game ya Leo Yanga kufungwa goli tatu, kwanini magoli yote hakuwa anaruka kudaka au kupangua? Anasimama tuu kama mlingoti, kweli?
USHAURI
Ana...
-Naitazama Forward Line ya Simba yenye Ateba,Kibu na Balua kisha naitazama Defense Line ya Yanga yenye Yao,Boka Job na Bacca.
Yanga wakimkosa Bacca leo akacheza Mwamnyeto namuona Ateba akienda kushangilia kwenye kibendera...
Namuona Diarra akienda kuokota mpira kambani kwa mara ya kwanza msimu...
JUMA KASEJA: KILA KITU DIARRA ANACHOFANYA MIMI NILISHAKIFANYA ENZI ZANGU.
Nyota wa zamani wa klabu ya Simba Juma Kaseja ameweka wazi kuwa ubora anaouonyesha nyota wa klabu ya Yanga Djigui Diarra, yeye aliwahi kuuonesha mapema.
"Diarra ni golikipa mzuri sana.Vitu ambavyo anafanya ndani ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.