diddy

"Do Wah Diddy Diddy" is a song written by Jeff Barry and Ellie Greenwich and originally recorded in 1963, as "Do-Wah-Diddy", by the American vocal group the Exciters. Cash Box described the Exciters' version as "a sparkling rocker that bubbles over with coin-catching enthusiasm" and said that the "great lead job is backed by a fabulous instrumental arrangement." It was made internationally famous by the British band Manfred Mann.

View More On Wikipedia.org
  1. B

    Wanaume watatu wamtuhumu Diddy kuwabaka.

    Wanaume watatu zaidi wamemshutumu Sean "Diddy" Combs kwa ubakaji na unyanyasaji wa kingono katika kundi la kesi mpya zinazodai mwanamuziki huyo wa rap aliwapatia dawa za kulevya na kuwanyanyasa. Malalamiko hayo, yaliyowasilishwa kando katika Mahakama Kuu ya New York siku ya Alhamisi...
  2. X

    Jay-Z atuhumiwa kumnyanyasa kingono mtoto wa miaka 13 katika tukio la 2000 pamoja na Sean "Diddy" Combs

    Mwanamke anayedai kuwa alinyanyaswa kingono na Sean "Diddy" Combs amerekebisha kesi yake na kujumuisha madai kuwa pia alibakwa na Jay-Z kwenye moja ya party. Kesi hiyo hapo awali iliwasilishwa dhidi ya Combs mnamo Oktoba, lakini Jumapili 8th December, mwanamke huyo aliongeza Shawn Carter...
  3. Eli Cohen

    Shyne: "Nilidhani Diddy atanipata $10million kwa kuspend miaka 10 gerezani kwa ajili yake ila nilishangaa yeye kuni offer $50,000"

    Shyne "Jamaa ananipa 50k wakati huo ametoka kuspend 500k kwa mpenzi wake" Shyne ambae alikuwa mmoja wa entourage ya diddy wakati mtu mmoja alipopigwa risasi hadi kufa kwenye party, alikataa kusema ukweli kwa kile kilichotokea kupelekea mauaji ya jamaa huyo alipokuwa kiziuzini. Aliamua kuchukua...
  4. B

    P. Diddy amezidiwa utajiri na Jay Z

    P Diddy Amezidiwa Utajiri Na Jay Z Lakini Tunaambiwa Ili Wasanii Wawe Matajiri Lazima Waende Kwake, Lakini Pia P Diddy Amezidiwa Tuzo Za Grammy Na Jay Z 24 Kwa 3 Lakini Tunaambiwa Ili Wasanii Washinde Grammy Lazima Waende Kwa P Diddy 😂😂😂😂 Au Ndio Mganga Hajigangi 😂😂😂
  5. W

    P Diddy aliwasainisha Wageni waliokuwa wakihudhuria Sherehe zake Mkataba wa Faragha

    Fahamu Masharti ya Kudumu ya Mkataba wa Faragha wa waalikwa katika Sherehe za P Diddy Mhusika hapaswi kusema yatakayotokea katika sherehe hizo hadi kifo cha P Diddy na miaka 20 zaidi baada ya kifo, huku Mkataba huu ukiwa na Wastani wa muda wa takriban Miaka 70 kwa mhusika. Mkataba huu pia...
  6. JanguKamaJangu

    Watu wengine sita wajitokeza, wamuongezea Diddy mashtaka sita mapya

    Rapa na Nguli wa Muziki wa Hip Hop, Sean "Diddy" Combs ameongezewa mashtaka sita mapya yakimshutumu kwa unyanyasaji wa Kijinsia dhidi ya Wanaume, Wanawake na Mvulana wa Miaka 16 Imeelezwa Mashtaka hayo yamefunguliwa kwa njia ya siri na Walalamikaji Jijini New York ambapo tuhuma zinahusu kubaka...
  7. Waufukweni

    Sean 'Diddy' Combs kufikishwa Mahakamani leo kwa mara ya kwanza

    Rapa na Mfanyabiashara Sean "Diddy" Combs anatarajiwa kuwasilishwa mbele ya jaji Arun Subramanian katika mahakama ya Manhattan, Alhamisi hii majira ya mchana, akitokea gereza la Brooklyn. Hii itakuwa ni mara ya kwanza kwa Combs kukutana na jaji katika kesi inayomhusisha biashara ya ngono...
  8. Mkalukungone mwamba

    Wanasheria wa Diddy wamepeleka ombi nyingine la dhamana la mteja wao

    Timu ya wanasheria wa Gwiji wa miondoko ya Hip-hop Ulimwenguni ‘Sean Combs’ a.k.a ‘Diddy’ imewasilisha rufaa ya tatu ya kuachiliwa kabla ya kusikilizwa kwa kesi zinazomkabili katika Mahakama ya Rufaa ya Marekani baada ya majaribio ya awali kukataliwa. Rufaa hiyo inapinga uamuzi uliotolewa na...
  9. K

    Mama P Diddy ailipukia dunia, adai ni waongo wakubwa wanataka tu pesa za mwanae

    Mama mzazi wa #Diddy, Janice Combs amevunja ukimya matatizo yanayomkabili mtoto wake akisema hana hatia sababu Diddy hajafikia hatua ya kufanya unyama huo kwa watu wanaomtuhumu. Mama Diddy amemtetea mwanae kupitia barua ya wazi inayoeleza yanayoendelea kwa Diddy ni uongo na uchochezi kwa...
  10. Askarimaji

    P. Diddy ni nani na anatuhumiwa na nini?

    Diddy ni nani na anatuhumiwa nini? Sean "Diddy" Combs kwenye hafla ya Met Gala ya 2017 huko New York 4 Oktoba 2024 Ni nguli wa muziki aliyefanikiwa sana, Sean "Diddy" Combs, lakini sasa anakabiliwa na msururu wa tuhuma za unyanyasaji wa kingono ambazo zinaweza kuhitimisha kazi yake ya miongo...
  11. Mkalukungone mwamba

    Sean 'Diddy' Akabiliwa na kesi mpya 120 za unyanyasaji wa kingono kabla ya kusikilizwa kwa kesi za awali

    Hii achatuseme kwamba kazini kwa Diddy kuna kazi. Kesi zinazidi kumiminika zinazomuhusu yeye hadi sasa ni maumivu kwake na je atazishinda zote kesi hizi? ================== Mkali wa Hip-Hop wa Marekani, Sean “Diddy” Combs anatuhumiwa kuhusishwa katika kesi mpya 120 za unyanyasaji wa kingono...
  12. Kingsmann

    Washirika wa Diddy kutajwa hivi karibuni

    Orodha ya wanaodaiwa kuwa Washirika wa Msanii wa Marekani, Diddy Combs anayetuhumiwa kwa makosa ya unyanyasaji, ulaghai na biashara ya ngono inatazamiwa kutajwa hivi karibuni katika hatua nyingine ya kesi zinazomkabili, Wakili mtetezi wa Waathirika wa matukio hayo Tony Buzbee amethibitisha...
  13. Magical power

    P Diddy ni kama alijua kitakachotokea

    "P DIDDY" ni kama alijua kitakacho tokea. Mali zote ziliandikwa kwa jina la #mama yake hakuna mali yake iliyo kwenye jina lake. Mali zote ziko katika jina la mama yake na mtoto wake, hata wamshitaki mpaka ufalme wake uanguke hakuna mtu atakayepata senti kutoka kwake. Utajiri wake wa kizazi...
  14. Mshana Jr

    Unahisi kwanini P Diddy ametaja hayo majina yote hapo? Ukweli ni huu

    https://www.facebook.com/share/v/wXRUZzMo624yBNyF/?mibextid=Mk4v2M Majamaa waliingia nyumbani kwa Diddy na wakachukua kila kitu, ikiwemo hard disk za kamera za siri ambazo Diddy alikuwa ameweka kwa ajili ya kurekodi kila kitu kilichokuwa kinaendelea. Kamera za siri? Yaani alikuwa anarekodi...
  15. Suley2019

    SI KWELI Justin Bieber ameimba wimbo maalumu kuelezea manyanyaso aliyopitia kwa P. Diddy

    Wakuu kuna wimbo nakutana nao TikTok na X ukiwa na sauti ya Justine Bieber akieleza namna alivyonynyaswa na P. Diddy alipoenda kwenye party ikamgharimu. Kuna ukweli hapa. Wimbo huu hapa chini:
  16. kavulata

    P Diddy hana wateja wake Tanzania?

    Mwanamuziki wa Marekani, P Diddy amekumbwa na makosa mengi ya uhalifu dhidi ya binadamu ikiwemo sexual trafficking. Aliwasaidia baadhi ya watu kwa yeye kujifaidisha kwanza. Tuna watu hapa Tanzania ambao wameibuka kiuchumi from no where ambao huenda wamepitia magumu ya P Diddy na wenzake wa aina...
  17. Waufukweni

    Sean "Diddy" Combs aondolewa kwenye uangalizi wa kujiua

    Sean "Diddy" Combs ameripotiwa kuondolewa kwenye uangalizi wa kujitoa uhai huku akiendelea na maandalizi ya kesi yake ya usafirishaji wa binadamu kwa ajili ya biashara ya ngono. Kwa mujibu wa wakili wake, Diddy yuko "imara na amewekeza muda mwingi kwenye utetezi wake." Diddy, ambaye yupo kwenye...
  18. Pdidy

    Baada ya picha zake na P Diddy kuvuja mtandaoni, team ya Leonardo DiCaprio yamkana P Diddy hadharani!

    Mwigizaji kutokea nchini Marekani, Leonardo DiCaprio ameamua kujitenga na kujiweka mbali na na Sean 'Diddy' Combs kufuatia kuibuka kwa picha inayoonyesha yeye akiwa kwenye moja ya sherehe maarufu za "white party" zilizokuwa zinaandaliwa na P Diddy. Kwa mujibu wa chanzo cha karibu na mwigizaji...
  19. Secret Star

    P Diddy ana ajenda nyuma ya pazia

    P Diddy amebeba Ajenda kubwa kwa ajili ya kupromote LGBTQ Community. Hivyo kwa mnaotegemea anaenda kuozea Jela mtasubiri sana. Jamaa ataachiwa huru na kila mmoja atashangaa. Huu uzi ubaki kama ukumbusho. Na atakapoachiwa Itaongeza nguvu kwa watu wa upunde waonekane kana kwamba hawana hatia...
  20. mdukuzi

    Kesi ya P Diddy ni ndogo sana,wazungu hawana tatizo na mapenzi ya jinsia moja

    Ni endapo itadhihirika kuwa aliwaingilia watoto under 18, Vinginevyo P Diddy kesi yake ni ndogo sana Majimbo mengi ya USA yameruhusu ushonga. Wengi wanaohisiwa kupakwa mafuta ni wababa watu wazima ambao huenda walifurahia tendo na hawakulazimishwa.. Wazungu wanajua kutetea haki za ; 1...
Back
Top Bottom