digital security

Computer security, cybersecurity (cyber security), digital security or information technology security (IT security) is the protection of computer systems and networks from attack by malicious actors that may result in unauthorized information disclosure, theft of, or damage to hardware, software, or data, as well as from the disruption or misdirection of the services they provide.The field has become of significance due to the expanded reliance on computer systems, the Internet, and wireless network standards such as Bluetooth and Wi-Fi, and due to the growth of smart devices, including smartphones, televisions, and the various devices that constitute the Internet of things (IoT). Cybersecurity is one of the most significant challenges of the contemporary world, due to both the complexity of information systems and the societies they support. Security is of especially high importance for systems that govern large-scale systems with far-reaching physical effects, such as power distribution, elections, and finance.

View More On Wikipedia.org
  1. W

    Chukua Hii: Mitandao ya Kijamii inatuunganisha, ila kuwa makini unapoitumia

    Taarifa unazoweka mitandaoni haziwezi kusahaulika, hata kama umeamua kuzifuta. Hivyo, ni muhimu kuwa makini na jinsi unavyotumia mitandao ya kijamii. Kumbuka kuwa taarifa unazochapisha zinaweza kutumiwa kuiba utambulisho wako, kufanya ulaghai, au hata kudukuliwa na kuishia mikononi mwa watu...
  2. W

    Kumbuka kufunga kioo cha Kifaa chako kama Simu au Laptop kama hutumii

    1. Hakikisha Kompyuta au simu yako inajifunga Kioo (Lock Screen) muda mchache ikikaa bila matumizi ili kuzuia mtu kutumia bila ruhusa 2. Ikiwa unahifadhi Taarifa Nyeti kwenye ‘flash drive’ au ‘External Disk Drive’ hakikisha zimefungwa na kuhifadhiwa mahali salama Kwa kufanya hivi ni njia...
  3. Chachu Ombara

    Unashauriwa ku-reboot simu yako mara moja kwa wiki ili kujilinda dhidi ya mashambulizi ya mtandao

    Tunatumia muda mwingi kwenye simu zetu za mkononi, iwe ni kwa kutuma ujumbe, kupitia mitandao ya kijamii, kuangalia barua pepe au kufuatilia habari mpya. Kwa kawaida tunazima simu zetu pale tu inapokuwa na tatizo au hitilafu, au pale betri inapokufa (ingawa si kwa makusudi). Hata hivyo, Shirika...
  4. J

    Utapeli wa Mtandaoni umekithiri, chukua tahadhari hizi ili kutambua Links na ujumbe wa maandishi wa kitapeli

    Kwa mujibu wa Ripoti inayowasilisha takwimu za mawasiliano za robo ya tatu ya mwaka wa fedha 2023/2024 ya Mamlaka ya Mawasiliano (TCRA), Mikoa ya Rukwa yenye majaribio 6,861 na Morogoro yenye majaribio 6,126 ya ulaghai mtandaoni ndiyo inayoongoza, ikiwa na zaidi ya theluthi moja ya majaribio...
  5. w0rM

    Wizi wa Mtandaoni umekithiri sana, ndugu yangu alinusurika. Weka kisa chako hapa kuokoa mwingine atakayetaka kutapeliwa kama wewe

    Habari wanajamvi, Utapeli na wizi wa Mitandaoni kwa kweli umekithiri sana jamani, yaani kuna ndugu yangu kidogo aibiwe na hawa watu. Ukweli ni kwamba wizi huu pia hutegemea zaidi bahati ila wengi sana wanaumia na wizi huu. Ngoja niwape kisa kilivyokuwa; Nina kaka yangu mwenye mke na mtoto...
  6. Roving Journalist

    JamiiForums kushiriki mjadala wa “ICT for Promoting Digital Security and Data Privacy”, leo Novemba 8, 2023

    Ikiwa ni Siku ya pili (Nov 8) ya Tamasha la Jinsia kutoka TGNP, JamiiForums inashiriki kwenye Mjadala kuhusu 'Ushirikishwaji wa Wanawake na Wasichana katika Usalama wa Kidijitali na Faragha ya Taarifa' Mjadala huu utaangazia namna ya kuongeza Ushiriki wa Wanawake kwenye Nyenzo za Kidijitali...
  7. The Sheriff

    Ni muhimu kwa kila Mtanzania kuchukua jukumu la kujilinda dhidi ya Mashambulizi ya Kimtandao

    Mashambulizi ya kimtandao ni jambo la kawaida katika enzi hizi ambapo teknolojia ya habari na mawasiliano inakua kwa kasi. Maendeleo ya kiteknolojia yameleta faida kubwa katika maisha yetu, lakini pia yameleta changamoto na tishio la usalama wa kimtandao. Teknolojia inaendelea kuwa sehemu...
  8. R

    Wanawake wagundua kamera zilizofichwa bafuni katika nyumba ya kupangisha kwa muda (Airbnb)

    Marafiki hao 15 walipanga nyumba huyo kwa ajili mapumziko British Colombia, ndipo usiku mmoja wa mapumziko wao waligundua kulikuwa na camera zilizokuwa zimefichwa kwenye soketi ya umeme zikiwa zimeelekezwa bafuni. Mmoja wa marafiki hao aliona video kutoka mtandao wa Tiktok ikiongelea kuhusu...
Back
Top Bottom