digitalsecurity

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. W

    Huwa unachukua hatua gani ukidukuliwa "Hacked"?

    Wakuu baada ya Mo Dewji kudukuliwa nimeona nije na madini hapa ili tukuchue hatari kwani hiki kinaweza kumtokea mtu mwingine. Lakini pia nimeshuhudia marafiki zangu wengi akaunti za mitandao ya kijamii kudukuliwa na kutumiwa na matapeli Hatua za kufuata baada ya Kudukuliwa: Wajulishe marafiki...
  2. W

    Mo Dewji adukuliwa, Unajilindaje ukidukuliwa?

    Kufuatia matukio ya udukuzi wa akaunti za mitandaoni yanayosababisha utapeli, wananchi wametakiwa kujifunza elimu ya mitandao ili kuepuka kuingia kwenye majanga. Hayo yanakuja kufuatia tangazo la mfanyabiashara Mohammed Dewji maarufu Mo, lililotolea leo Februari 6, akiwaomba radhi wasomaji wake...
  3. W

    Zijue Dalili ya Kazi za kitapeli Mtandaoni

    Dalili ya Kazi za Kitapeli: 1. Kampuni haina tovuti au akaunti katika mitandao ya kijamii. 2. Barua pepe ya mwajiri haiendani na tovuti rasmi ya kampuni au shirika halali 3. Maelezo ya kazi yanatumwa kupitia 'WhatsApp', 'SMS', 'Telegram' 4. Maelezo ya kazi hayaeleweki na yana makosa herufi...
  4. J

    Taarifa za watumiaji Milioni 500 wa LinkedIn zadukuliwa na kuuzwa mtandaoni

    LinkedIn imethibitisha kuwa taarifa zilizofutwa kutoka kwa watumiaji milioni 500 wa mtandao huo ni sehemu ya hifadhidata ‘database’ zilizochapishwa na wadukuzi. Taarifa za kudukuliwa na kuuzwa kwa data ilichapishwa mara ya kwanza na tovuti ya utafiti ya Cybernews ya usalama wa kitandao tarehe 7...
  5. BenKaile

    Wito fanya ufutaji wa akaunti zako kwenye applications au kompyuta kabla huja uninstall programu husika

    Sitakupa maelezo marefu sana ya kupoteza muda wako, ila umakini na faragha ni muhimu sana nyakati hizi za kimageuzi ya mitandao na ukuaji wa teknolojia. Kwa watumiaji wa vifaa ya kimtandao kama simu na kompyuta iwe ya mezani au mipakato jaribuni sana kuwa na umakini ikiwa utaacha kutumia...
  6. J

    Elimu na Maarifa kuhusu Ulinzi wa Kidigitali (Digital Security)

    Ulinzi wa Kidigitali ni nini? Ni Ulinzi na Usalama wa Vifaa na Mifumo ya Kidigitali. Somo hili ji kutokana uwepo wa matukio ya kila siku yanayohusisha mashambulizi na kuingiliwa kwa Vifaa vya Kidigitali na Mifumo yake Maendeleo ya Teknolojia yamebadili namna ya uendeshaji wa mambo katika jamii...
Back
Top Bottom