dinasour

  1. Manuell

    Stolen african artifact/ kazi za kisanii za kale zilizoibiwa katika kipindi cha ukoloni

    Huyo ni mjusi/Dinosaur anayeamika kuishi Tanzania miaka mingi iliyopita ambaye kwa sasa mabaki yake yamehifadhiwa katika Makumbusho nchini ujerumani. hio ni moja kati ya maelfu ya kazi za kisanii, mabaki ya viumbe hai vilivyoibiwa katika kipindi cha ukoloni. katika kipindi cha ukoloni ukiachana...
Back
Top Bottom