Nimegundua watu wengi wako kwenye dini walizoko kwa mashinikizo ya kijamii na sio hiyari.
Nimeona vijana wawili walipohama kutoka katika dini zao za kikristo na kuhamia ukristo mwingine wazazi waliwakataa na kugoma kuwasaidia. Tena mmoja kaishia form 2.
Juzi nimemuona kijana mmoja Muislam kaja...
Ukiangalia waarabu majority identity yao ni Uislam na inawaunganisha.
Ukiangalia wazungu, majority ni Christianity, ni kiunganishi cha umoja wao.
Wa China wana imani zao ambazo ndio kitambulisho chao. Wahindi majority wanaunganishwa na imani zao.
Je ni ipi identity ya Muafrica? Ni ipi imani...
Nawapa test kama ile test nabii Eliya aliyowapa manabii wa mungu wa uongo Baali. Waiteni kwenye makusanyiko yenu amputees( watu waliopoteza mikono au miguu) muwaombee warudishiwe viungo vyao. Si mnahubiri kwamba kwenye madhabahu zenu kwa jina la Yesu miujiza inatendeka??
Na si mnaalika watu...
Nabii Kiboko ya Wachawi amerejea kwa kishindo huku akija na staili mpya ya mahubiri. Ndivyo unavyoweza kusema. Ukimsikiliza vizuri nabii huyu anavyoendesha mafundisho yake ya kichonganishi, hana tofauti hata kidogo na staili aliyokuwa anatumia Kiboko ya Wachawi kabla ya kufurushwa nchini. Sitaki...
Hawa wawili waligundua. Kuwa pamoja na kuwa Dini zao ni tofauti wanategemeana. Mmoja ana macho ya kuona kule waendako. Mwingine hajui ila aendako ila ana miguu ya kuweza mpeleka akioneshwa.
So huyu Muislamu udhaifu wake ni macho. Haoni. Ila anaweza kutembea. Mkristo anaona mbele ila hawezi...
Wadau hamjamboni nyote?
Haya ni madai mapya kuyasikia japo yamekuwepo kwa Karne nyingi
Baadhi ya wanazuoni wanadai kuwa Lazaro rafikiye kipenzi na Bwana Yesu hakufa kweli japo ni kweli alizikwa!
Wanadai kuwa
Kilichotokea ni matumizi ya sayansi ya asili ya hali ya juu kabisa lengo...
Huyu mzee asaidiwe.
Inaonekana wazi kuna pepo la uzushi limeweka kambi kwa ubongo wa wake.
Hivi huko Dar hakuna nabii mwenye upako kama wa daddy wetu pale kisongo hemani achukue jukumu la kumfungua na kumuweka huru mzee wa upako?
Manabii wa Dar hemu acheni uvivu, kuna mtu anahitaji msaada...
Salaam, shalom!!
( Isaya 6:1-10), Mwanzo 1:26-28). (Matendo 9:4)
Maandiko ya atwambia Mbingu na Dunia zimejaa utukufu wa Mungu, hii inamaanisha Mungu yupo everywhere.
Hapo hapo maandiko yanatwambia kuwa, Mbinguni kipo KITI Cha enzi, na aketiye katika KITI Cha enzi ana mfano wa mwanadamu.
Ni...
Nawasalimu wote kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Utangulizi
Mimi ni raia wa Tanzania, Mkristo kwa imani. Lakini nasikitishwa na kile kinachoendelea katika huduma ya Nabii wa Uongo anayejiita “Nabii Dominiki, Kiboko ya Wachawi”, mwenye Huduma yake DSM, WILAYA YA TEMEKE, BUZA – MTAA...
Anonymous (8dcc)
Thread
dininaimanidinina utapeli
kiboko ya wachawi
nabii tapeli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.