Na Mwl John Pambalu
Nimeshangazwa sana na kauli ya mzee Kikwete aliyoitoa jana huko mkoani Mara siku moja baada ya tamko la Baraza la maaskofu Katoliki katika kile alichodai kuwa si sawa kuchanganya dini na siasa.
Kikwete ambaye marehemu Askofu Getrude Lwakatare alikuwa mbunge kupitia chama...