dish

  1. N'yadikwa

    Wimbo niliosikiliza enzi za free Satellite dish

    YESHUA - AVION BLACKMAN
  2. Zero Competition

    INAUZWA Nauza king'amuzi cha Startimes na dish lake

    Nauza king'amuzi cha Startimes kikiwa na dish lake, remote controller, waya wake wa kutoka kwenye dish hadi kwenye decoder pamoja na power adopter yake kwa Tshs 35,000 Kimetumika miezi 4 tu Nipo Mbezi Luis Mawasiliano 0767696021
  3. T

    Mwenye kuhitaji King'amuzi cha Canal+ full na dish lake 90k

    *Kimetumika *Hakina shida *Dish halina kutu *Hakuna discount *Dar es salaam Ukihitaji call 0785165877
  4. hp4510

    Naitaji King'amuzi cha Azam na Dish lake

    Naitaji dish la Azam na King'amuzi chake Nataka used kutoka kwa mtu ambae anauza Nataka Kwa ajili ya sehemu ya biashara Niko Dar es salaam Mtu yoyote ambae anauza then nipm Ukiwa na risit ya manunuzi itakuwa Bora zaidi Au uwe na udhibitisho wa kuonesha hivyo vifaa ni vyako
  5. Julius Husseni

    No signal error 1 dish la azam

    Wakuu msaada kwa wale wanaofahamu shida hii afu Leo kuna mechi kali tafadhali jinsi ya utatuzi
  6. T

    Kipi ni chakula hasa (Main Dish) kati ya starch au protein?

    Wakuu kwema? Kuna kitu kinanitatiza muda mrefu panapohusu swala la mlo na mapishi. Ukienda migawahawa ya ushuani au umangani ukiuliza kuna chakula gani watakuambia: Kuku, Mbuzi, beef, Samaki nk kisha unachagua escort " kama chips, ugali, wali nk.. Ukienda Uswahili ukiuliza chakula...
  7. kagombe

    Dish la startimes linatakiwa chap

    Naitaji dish la startimes tu liwe ktk hali mzuri nicheck 0652500649
  8. Nyuki Mdogo

    INAUZWA Azam dekoda ya dish wahi kwa 130,000 tu DSM

    Inauzwa. 130,000 Jeti kwa Gude, Dsm 0713096076
  9. MAGAMBA MATATU

    TV4Sale Nauza Tv smart na Azam dish Mwanza

    Nauza
  10. Christopher Wallace

    Kisimbuzi cha Azam Tv bila dish kinauzwa

    Nauza kisimbuzi changu cha Azamtv bila dish, tena kisimbuzi hiki ni cha Kenya yaani package ya kuangalia NBC Premier League wewe utatazama kwa kulipia 13,000/= tu badala ya elfu 20,000/= Na usiwaze jinsi ya kulipia kifurushi, utalipia kwa M-pesa Visa card kwenye simu yako. Changamkia fursa hii.
  11. Loraa sum's

    TV4Sale Used Smart TV inch 43 na Dish la Azam

    used smart tv : inch 43 imetumika miezi 3 Kampuni: homebase Ina :warranty,boksi,stand ya ukutani na chini, remote na waya zake Eneo: Dar-es-Salaam, Ubungo Riiverside Bei: 650,000 Contact: 0712518770.
  12. L

    Nahitaji satelite dish

    Kuna madish fulani makubwa ya silver sana niliona yanatumika Zanzibar. Naweza kuyapata hapa DSM ? Bei yake ikoje?
  13. EvilSpirit

    Nataka kufunga satellite dish mwenyewe

    Ninataka kufungu satellite dish mwenyewe. Ni la kampuni ya Zuku. Ninaomba muongozo nilielekezee upande gani ili nipate signal na pia step by step jinsi ya kusearch chaneli
  14. T

    INAUZWA DStv Decoder na dish lake linauzwa

    Nauza decoder na dish la DStv kwa sh 60000 tu. Eneo Kibamba mbezi mwisho Dar es Salaam 0659130177.
  15. kikoozi

    Mwenye kujua sifa za kisimbuzi kipya cha Azam cha antena ukilinganisha na cha dish cha Azam

    Habarini wakuu, nataka kununua kisimbuzi cha Azam na ninaweza kununua cha dish na cha antena maana bei elekezi nasikia ni 130000 cha dish na 99000 cha natena, ila sijajua icho cha antena utofauti wake na cha dish ni kwenye nini, mtu akiwa na dish anafaidika na nini ambacho mwenye antena hapati...
  16. Madish Installers

    Kwanini dish (king'amuzi) chako kinasumbua signal mara kwa mara!?

    1.Ufungwaji wa Dish - Uimara wa sehemu ilipofungwa - Fundi amefungaje je kama huyu - Fundi alitumia signal finder? (kifaa cha kutafuta signal) - kwenye dish (lnb) tundu inayofungwa cable inayopeleka signal kwenye king'amuzi imefunikwa ili maji yasiingie n.k? 2.Cable kama imeungwa (ilikuwa...
  17. M

    Nitapataje channels nyingi FREE kwa dish?

    Amani iwe nanyi! Nahitaji kuweka dish la FTA ila nataka niweze kupata channels nyingi zaidi bila kulipia kila mwezi. Dish la kawaida la FTA hapa Moshi linakuwa na channels kadhaa za hapa nchini pamoja na channels kama Emmanuel TV, TBN na chache nyingine FREE. Ila nataka nipate channels zaidi...
Back
Top Bottom