ditram

Ditram Nchimbi (born 10 March 1997) is a Tanzanian football striker who plays for Young Africans.

View More On Wikipedia.org
  1. 3ZOV

    Masikini! Ditram Nchimbi

    Hali ya mchezaji wa zamani wa yanga kipaji kimekufa? Nimeikuta mahali wengi wanasema amekuwa boda boda
  2. demigod

    Kibu Denis amemzidi nini Ditram Nchimbi?

    Leo sikuwa na ratiba ya kutazama mechi ya Taifa Stars dhidi ya Benin. Ila baada ya kusikia watu wakiwa na hamu na shauku ya kumuona Kibu Denis, nikaona nayo ni fursa ya kuweza kumtazama. Lengo pia ni kutazama ni kipi ambacho Taifa kama Taifa tumekiona kwa Kibu Denis hata tukafikia hatua ya...
  3. Chizi Maarifa

    Ditram anaendelea kufurahia bao lake baada ya mwaka mmoja akiwa Yanga. Saido naye awashangaza wadau

    Ditram bado anaonekana mwenye furaha baada ya kufunga goal siku kadhaa zilizopita. Huku na Saido naye kwa furaha kabisa baada ya kufunga goal aliomba atolewe nje ili aende kushngalia. Kwa kweli Yanga tumepiga hatua kubwa sana katika mpira wa miguu..style ya Saido imekuwa kivutio kikubwa ikiwa...
  4. Peramiho yetu

    Hatimaye Ditram nchimbi afunga goli

    Hii ni baada ya kukaa mwaka mmoja na mwez mmoja bila kuifungia yanga goli katika mechi za kimashindano.
  5. A

    Ditram Nchimbi, usiyaoge maji ya bahari

    Nakuuliza swali ewe mwana wa Mzee Nchimbi ila usinijibu, je kama anakufa kwa asali, kwanini umpe sumu? Siku ya 15 ya januari 1929 pale Atlanta, Georgia, Marekani alizaliwa Mkombozi wa Watu weusi, aliitwa Martin Luther King jr. Huyu alikua mwanaharakati tishio kwa ngozi nyeupe, wala hakushika...
Back
Top Bottom