dk wilbrod slaa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Tlaatlaah

    Dkt. Slaa kurejea CHADEMA na kugombea urais kupitia chama hicho, tujiandae na mchuano mwingine ndani ya CHADEMA wa kupata wa mgombea urais?

    Nani anaaminika na kukubalika zaidi ndani ya chadema na anaweza kua na nafasi nzuri zaidi ya kupewa fursa ya kubeba jukumu hilo muhimu la kupeperusha bendera ya chama hicho, kati ya mwenyekiti wa chadema taifa wa sasa na aliewahi kua katibu mkuu wa chadema taifa? Au tutegemee siasa za chuki...
  2. mdukuzi

    Dk Slaa anateswa na kiapo cha upadre, kile kiapo kimeumiza wengi

    Kwa nini viongozi huwa wanaapishwa? Unadhani ule ni utani? Ni agano kati yako na Mungu ukienda kinyume itakutafuna tu,kama sio wewe ni kizazi chako. Kiapo cha mapadre ni hatari sana nina mifano ya mapadre watatu ambao walivunja kiapo na kuamua kuoa ila mwisho wao ulikuwa sio mzuri. Dk Slaa...
Back
Top Bottom