Mbunge wa Jimbo la Vunjo Mhe Dkt Charles Stephen Kimei leo ametia saini Kitabu cha maombolezo ya Kifo cha aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Msamaria Mwema (GSF) na Hospitali ya KCMC Profesa John F. Shao katika viwanja vya hospitali ya KCMC.
Akiwa katika viwanja vya KCMC baada ya...
Mbunge wa Jimbo la Vunjo Mhe Dkt Charles Stephen Kimei ameendelea kuweka rekodi katika Jimbo la Vunjo ya kufanikisha kuanza kwa ujenzi wa daraja linalounganisha vitongoji vya Msufini na Kisimani kata ya Makuyuni hali itakayowarahisisha mawasiliano ya wananchi toka upande mmoja kwenda mwingine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.