dkt charles stephen kimei

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Kimei amlilia Prof. Shao, asaini kitabu cha maombolezo na kutoa pole kwa familia

    Mbunge wa Jimbo la Vunjo Mhe Dkt Charles Stephen Kimei leo ametia saini Kitabu cha maombolezo ya Kifo cha aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Msamaria Mwema (GSF) na Hospitali ya KCMC Profesa John F. Shao katika viwanja vya hospitali ya KCMC. Akiwa katika viwanja vya KCMC baada ya...
  2. M

    Pre GE2025 Kimei aendelea kuweka rekodi Vunjo, afanikisha kuanza kwa ujenzi wa daraja kata ya Makuyuni

    Mbunge wa Jimbo la Vunjo Mhe Dkt Charles Stephen Kimei ameendelea kuweka rekodi katika Jimbo la Vunjo ya kufanikisha kuanza kwa ujenzi wa daraja linalounganisha vitongoji vya Msufini na Kisimani kata ya Makuyuni hali itakayowarahisisha mawasiliano ya wananchi toka upande mmoja kwenda mwingine...
Back
Top Bottom