dkt dorothy gwajima

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. N'yadikwa

    Kampeni ya vijana kukataa ndoa ni matokeo ya kumtenga mtoto wa kiume katika malezi

    1️⃣ Tumeshuhudia ongezeko la vijana wa kiume wanaokataa ndoa au kuikwepa. Hili si jambo la bahati mbaya, bali ni matokeo ya malezi yaliyomwacha mtoto wa kiume bila mwongozo wa kutosha. 2️⃣ Kwa miaka mingi, harakati za kumwinua mwanamke zilihamasisha elimu, ajira, na haki za wanawake, jambo...
  2. USSR

    Dkt Gwajima tunaomba uwasaidie hawa watoto wanachomwa moto na mama yao wa kambo kama sehemu ya adhabu

    https://www.facebook.com/share/v/1NYgdVfz65/ Video ina ogopesha USSR
  3. OKW BOBAN SUNZU

    Dkt. Gwajima, hili la mwalimu wa Istiqaama Nzega kuingilia watoto hujachukua hatua

    Heshima kwako Mkuu Dkt. Gwajima D Vyanzo vyanzo vya uhakika vimenipa taarifa za Mwalimu wa Shule ya Istiqaama huko Nzega kutuhumiwa kuingilia watoto kimwili. Vyanzo vimesema taarifa hizo amepewa pia Waziri Mwenye Dhamana Dkt. Gwajima, lakini jambo hili linafanywa siri na mwalimu hajachukuliwa...
  4. I

    Vijana na ulevi

    Kila nikirudi nyumbani (mkoani), nagundua dhahiri kabisa kuwa kuna ongezeko kubwa sana ya maduka madogo madogo ya pombe (grocery stores) katoka mitaa mbalimbali tofauti na hali ilivyokuwa miaka 10 au zaidi iliyopita. Hata maduka yanayouza mchele na sukari lazima kuna droo ya kuuza pombe tena...
  5. J

    Kiukweli Dr Dorothy Gwajima amekuwa kama Waziri wa Mambo ya Ndani kwa namna anavyowatetea Wananchi kwa haraka sana!

    Waziri wa Maendeleo ya Jamii Dorothy Gwajima utendaji wake umenikumbusha enzi za Augustino Lyatonga Mrema alipokuwa Waziri wa Mambo ya Ndani alikuwa ni mwepesi sana kushughulikia matatizo ya Wananchi bila kujali kama anaingilia Wizara nyingine ama la Bila Dr Gwajima kuingilia Kati nadhani...
  6. jMali

    Waziri Gwajima, Wizara yako ifanye kampeni ya Afya ya Akili ili Watanzania wawe na uelewa na kuwalinda wazazi wetu

    Dkt. Gwajima D Wasalaam, Ni tatizo la kawaida kwa watu wazima kupoteza uwezo wa kiakili au kupoteza kumbukumbu kadiri umri unavyokwenda. Hata hivyo kwa baadhi ya Watanzania hili suala halijulikani sana. Kuna wenzetu huko wanakotoka labda hakuna wazee au labda wazee wao tatizo hili hawana, kwa...
  7. L

    Naomba Mawaziri Wengine Waige Mfano wa Dkt Mwigulu Nchemba Pamoja na Dkt Dorothy Gwajima wa kuja kutoa ufafanuzi wa Hoja hapa jukwaani

    Ndugu zangu Watanzania, Nimefurahi sana kuona Mheshimiwa Dkt Mwigulu Lameck Nchemba, Waziri wa Fedha akijitokeza hapa jukwaani kuja kutoa ufafanuzi wa hoja ambayo ilikuwa inagusa wizara yake.Nampongeza sana kwa ujasiri na uthubutu wa hatua hiyo. kwa kuwa hatua hiyo inasaidia kuondoa uzushi ...
  8. DR Mambo Jambo

    PONGEZI: Utenguzi wa Mkurugenzi Mafia Ili kupisha Uchunguzi, Pongezi ziende kwa Dkt. Dorothy Gwajima. Kiukweli kwenye hili amejituma sana

    Nimeona Taarifa Ya Utenguzi wa Mkurugenzi wa Mafia. Kiukweli Nimefarijika sana na Nimeona Kweli haki imetendeka na Imeonekana Ikitendeka.. Ni wazi kuwa Nchi imepata Viongozi waadilifu Na hasa Miongoni mwao Napenda kumtaja bila kuogopa na nikitembea Kifua Mbele Dkt. Gwajima D. Kiukweli kabisa...
  9. Jaji Mfawidhi

    Wasichana wa kiislamu wamekamatwa wakiwa wamefungiwa kwenye nyumba Dodoma, inayosadikika kupewa elimu ya dini

    Wasichana wa ki-islamu wamekamatwa wakiwa wamefungiwa kwenye nyumba Dodoma inayosadikika kuwapa elimu ya dini leo 19-02-2024. Wapo zaidi ya mabikra 200, wanakula na kunywa bure kwa siri kubwa sana.Fedha za kuwalisha, kuwapa vinjwaji, kununua pedi[taulo] kila mwezi hazijulikani zitokapo na...
  10. Dkt. Gwajima D

    Dodoma: Yaliyojiri Ufungaji wa Jukwaa la Mwaka la Mashirika Yasiyo Ya Kiserikali (NGO's) - Oktoba 5, 2023

    Link hii hapa, karibuni[emoji847] https://youtube.com/live/MhZaCP3E9GA?si=FvE9aTPWw7MPBWaj ========== DKT. DOROTHY GWAJIMA, WAZIRI WA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA, WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUM Jukwaa hili kitaifa ni la tatu, ambapo la kwanza lilikuwa ni mwaka 2021 na Mgeni Rasmi alikuwa Rais wa...
  11. The Sheriff

    Haki za Mtoto: Ni aibu kuwa bado kuna Watanzania wanaoa na kuoza watoto wakiwa bado tumboni

    Mila zimekuwa nguzo muhimu katika utamaduni wa jamii, zikichangia kudumisha uhusiano na kuleta umoja. Hata hivyo, katika hali fulani, mila hizi zinaweza kuwa chanzo cha madhara makubwa ambayo hayawezi kupuuzwa. Swali lililoulizwa na Mbunge wa Viti Maalum, Maryam Azan Mwinyi, kuhusu mila ya...
  12. B

    #COVID19 Waziri Gwajima, takwimu za Covid-19 mnaandaa au mnapika?

    Amesikika waziri Gwajima akisema wanaandaa takwimu za hali ya ugonjwa wa Corona nchini. Watu wanapoendelea kufa huku takwimu zikiendelea kuandaliwa bila mwisho, ina maana gani? Inachukua muda gani kujua idadi ya wagonjwa waliolazwa mkoa kwa mkoa, vifo au waliopona? Hapa tuna mwenzetu mwingine...
  13. U

    Afya za wanafunzi takribani 2,500 zipo hatarini kutokana na ukosefu wa maji kwa zaidi ya siku 21

    Shule ya Msingi Benako haina Maji Wiki Ya 3 baada ya Kukatiwa Maji Na Dawasco kwa deni La 200,000. Shule hii inapatikana maeneo ya Salasala Kata ya Wazo, Jimboni Kawe Jijini Dar es Salaam. Taarifa zilizopo ni kuwa muda wa wiki 3 sasa maji shuleni hapo hayapatikani hali inayotishia afya za...
  14. Komeo Lachuma

    #COVID19 Rais Samia, tuondolee hili janga Wizara ya Afya. Mawaziri wako ndio kikwazo cha chanjo

    Hii ni moja ya Wizara ambayo imepata mawaziri Wa Hovyo sana. Hatujui ni nini kinafanya Huyu Dr. Gwajima aendelee kufanya sarakasi zake zisizo na Tija katika Wizara nyeti kama hiyo. Kwa nini huoni kama kuna shida? Wizara hii haihitaji Mipasho, vichekesho na Propaganda. Inataka mtu ambaye yupo...
  15. N

    #COVID19 Waziri Gwajima: IGP Sirro yupo sahihi, wanaonichonganisha nitawavua nguo hadharani. Asema Corona imesababisha vifo vya kutosha

    Battle linaendelea, hakijaharibika kitu, Waziri Gwajima amempongeza IGP simon Sirro kwa kufanya kazi kwa utaratibu hivyo nae amesema tayari ameshamwandikia malalamiko yake. CORONA IMESABABISHA VIFO VYA KUTOSHA Waziri wa Afya Dkt. Dorothy Gwajima amesema vifo vitokanavyo na corona vipo vya...
Back
Top Bottom