dkt emmanuel nchimbi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. U

    Pre GE2025 Sitamani kumuona Nchimbi akiwa Rais

    Wakuu, heshima kwenu! Moja kwa moja kwenye mada. Mtajwa hapo juu ni mchapakazi, tatizo lake kubwa simuoni kama mzalendo wa kweli. Tayari alishajihusisha na makundi, makundi ambayo yanalaumiwa kwa kukosa uzalendo. Karata ya CCM 2015 ilikuwa nzuri, pengine kuliko zote baada ya ya Nyerere...
  2. Mkalukungone mwamba

    Dkt Nchimbi: CCM imekasirishwa sana na mauwaji ya Ali Kibao na serikali iharakishe haraka uchunguzi na matukio yakomeshwe

    Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi CCM Dkt Emmanuel Nchimbi ,amesema CCM imekasirishwa sana na mauwaji ya aliyekuwa Mshauri wa CHADEMA Ali Kibao na serikali iharakishe haraka uchunguzi na matukio yakomeshwe. "Chama chetu kinaunga mkono kauli ya Rais wetu yakutaka uchunguzi wa haraka ufanyike...
Back
Top Bottom