dkt. geordavie

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    Nabii GeorDavie: Makonda utakula mema ya nchi mpaka utanikumbuka

    Wakuu Nabii Mkuu Dkt. GeorDavie, ametoa neno kwa wakazi wa Mkoa wa Arusha na kwakipekee kwa Mkuu wa Mkoa huo Mhe. Paul Christian Makonda akimuahidi kula mema ya nchi.
  2. Waufukweni

    Nabii Mkuu Dkt. GeorDavie: Gari nilizotoa kwa Waumini zinafika karibu 200, hizo sitangazi popote unamwambia tu aende kwa fulani akachukue

    Nabii Mkuu Dkt. GeorDavie ameweka wazi kuwa ametoa magari takriban 200 kwa waumini wake kama sehemu ya kuwasaidia kiuchumi na kiimani. Akizungumza katika mahojiano na Salim Kikeke, alisema kuwa magari hayo hayahitaji matangazo yoyote ya wazi, bali waumini wanaohitaji huambiwa wapi waende...
Back
Top Bottom