Huyu Dkt Hamis Kigwangala ni miongoni mwawatu muhimu sana katika Taifa hili.
Vijana hawa walisaidia kurejeshwa Serikalini zaidi ya TZS 300 pesa zilizochotwa toka Akaunti ya Tegeta Escrow hivyo tusimchukulie poa.
Dkt Hamis Kigwangala akiongozwa na shujaa David Kafulila walisaidia nchi...