Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ally Mwinyi amehitimisha ziara yake ya Kikazi nchini Zimbabwe na kuagwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Zimbabwe Mhe. Virginia Mabhiza, Balozi wa Zimbabwe nchini Tanzania Mhe. Hellen Bangawe pamoja na viongozi mbalimbali wa...