Yule Waziri wa Zamani wa Nishati aliyetumbuliwa na Rais Samia Bwn. Kalemani amechangia Kwa mara ya kwanza Bungeni baada ya miaka 8..
Hongera bwana Kalemani wa Chato Kwa kushinda Kinyongo 🤪🤪
=======
Mbunge wa Chato, Dkt. Medard Kalemani leo amechangia bungeni kwa mara ya kwanza akiwa kama...