dkt. kigwangala

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mkalukungone mwamba

    Pre GE2025 Mbunge Gulamali apendekeza moja Shule Nzega Vijijini ipewe jina la Dkt. Kigwangala

    Mbunge wa Jimbo la Manonga Seif Khamis Gulamali Amuomba Waziri Mkuu Shule moja jimbo la Nzega Vijijini ipewe jina la Mbunge wao Dkt. Khamis Kigwangala. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote...
  2. J

    Dkt Kigwangala: Sugu ni Mwanangu sana na mwanafamilia siwezi kumuombea kifo Kwa Sababu yoyote ile au Chanzo chochote kile!

    Mbunge wa Nzega Vijijini Dkt Kigwangala amesema Sugu kwake ni kama mwanafamilia hivyo hawezi kumuombea kifo Kwa Sababu yoyote ile Mlale Unono 😀
  3. mshale21

    Hamisi Kigwangalla: Hatujui Dkt. Bashiru alirudisha lini kadi ya CUF. Hatujui namba ya kadi yake ya CCM

    Hatujui kadi yake ya Chama Cha Mapinduzi aliichukuwa lini, hatujui hata kadi yake ya CUF aliirudisha lini? Tulishangaa tu ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa CCM, lakini tuliheshimu mamlaka iliyomteua, sasa tulitegemea awe na Shukrani" Aliyoandika Kigwangalla kwenye account ya Twitter Mkiendelea...
Back
Top Bottom