Tatizo la maji bado ni kubwa sana.
Nimeenda Kijiji cha Idubula Kilino Nzega bado wananchi wa vijiji hivi hawajawahi kupata maji safi na salama tangia uhuru.
Sijui viongozi wa maeneo hayo wanajisikiaje?
Anonymous
Thread
dkt.kigwangalla
jimbo
jimboni
kigwangalla
kijiji
kupata
maji
maji safi
nzega
safi
wananchi
wazi
Mbunge wa Nzega Vijijini Dr Kigwangalla amesema aliacha Kazi ya Udaktari kwa sababu Mshahara ulikuwa mdogo.
Dr Kigwangalla amesema Baada ya kuusotea Udaktari kwa miaka 18 alijikuta analipwa tsh 126,000 kama Mshahara huku Dereva wa TRA akilipiwa tsh 360,000.
Kigwangalla amesema akiwa Rais wa...
Dr Kigwangala amesema alipokuwa Waziri wa Maliasili na Utalii alifanya mambo mengi mazuri lakini hawezi kuyasema kwa sababu yeye siyo mpenda kusifiwa.
Ila kuna machache ambayo wengine wanaona sikuwa sahihi kwahiyo wanaonikosoa, nakubaliana nao hiyo ni haki yao ya msingi.
Ameandika Dkt...
Mimi binafsi kama kijana wa kitanzania, ambaye utawala wa awamu ya Tano nusu unitoe roho Kwa presha pale nilipoenda TRA na kukutana na kikosi kazi kilichoundwa na Mh. Makamu wa Rais wa Sasa enzi hizo akiwa Waziri Wa fedha kwa kweli sifurahishwi na Matusi ya rejareja anayotukana Mh Waziri wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.