Ameandika Afisa Habari wa timu ya Simba @ahmedally_ [emoji116]
"Dodoma Jiji jana kafungwa magoli mawili ya Uwongo, Moja la Offside na pili Penati ya uongo lakini Kocha wao hajalalamika kuonewa wala kudhulumiwa zaidi amesema AMESTAHILI KUFUNGWA
Rejea mechi ya Dodoma Jiji Vs Simba, baada ya sisi...
Dodoma Jiji VS Yanga SC
| NBC Premier League
| Jamuhri Dodoma
| Disemba 25, 2024
Saa kumi jioni
Dakika 19, Mzize anawapatia goli Yanga
Dakika 29, Aziz Ki anatupia goli la pili.
Dakika 38, Mzize anawapa goli 3 Yanga.
Dakika 62, Dube anafunga goli la nne
Baada ya vibe la kombe la dunia huku Argentina akiwa haamini macho yake, ligi kuu Tanzania Bara leo inarejea. Kuwa nami nikujuze yanayojiri kutoka kwenye dimba la Liti mkoani Singida.
Dodoma Jiji wamejigamba leo wanaenda kuuvunja mwiko na hamna mtu atasimama dakika ya 46 kushangilia unbeaten...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.