Kama kawaida yangu nikiwa na mdodoza mfanyabiashra tajiri mkubwa sna hapa Dodoma Ni mzee simple sna ukimuona huweZi dhani kuwa Ana pesa.
Basi kutoka na ninayoyaona hapa ndani ya nchi hii ikabidi nimdokeze baada ya kuona mzigo wake unakariibia kukata na mzigo huu unatoka Zambia kisha kwenda...