dola hazipatikani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Wakuu Dola ikifika 2,000 nistueni niagize Passo yangu chapu kwa haraka

    Kama kichwa kinavyosomeka hapo Kwa Sasa Nina pata shida ya usafiri kuwakabili Machadema huko mtaani. Sasa mama akirekebisha Dola ikifika Tsh.2000/$1 nistueni Kwa kunitag ,kunii mention Ili Niagize Passo Yangu ya kusumbulia watu Mkoani πŸ˜„πŸ˜„πŸ‘‡πŸ‘‡...
  2. Dollars zimekwenda wapi? Kwa Sasa inapatikana kimagendo bila connection hupati

    Kama kawaida yangu nikiwa na mdodoza mfanyabiashra tajiri mkubwa sna hapa Dodoma Ni mzee simple sna ukimuona huweZi dhani kuwa Ana pesa. Basi kutoka na ninayoyaona hapa ndani ya nchi hii ikabidi nimdokeze baada ya kuona mzigo wake unakariibia kukata na mzigo huu unatoka Zambia kisha kwenda...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…