dola vs shilingi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    DOKEZO Kampuni ya Nyota Tanzania [Maersk] inalazimisha wateja wake kulipia gharama za usafirishaji kwa dollars

    Kama unashindwa kulipia mzigo wako hauwezi kutoka ukifika port of discharge, ina maana wanapingana na agizo la Waziri wa Fedha kuwa malipo yote tufanye kwa Tsh, na kwanini tulipe kwa dollars wakati wana account mbili moja ni tsh ambayo ni Account Name NYOTA TANZANIA LTD Account no ni TSH...
  2. ChoiceVariable

    Dola zimeadimika kwasababu wageni wanavuna fedha za miradi kuliko wazawa

    Kila siku tunalia kuhusu kuadikika Kwa Dola licha ya juhudi za kukuza Uchumi lakini hakuna ambae anajadili jambo Hilo Kwa kuangalia sababu za msingi. Mojawapo ya vitu vinavyosababisha kuadikika Kwa Dola Nchini no hizo hapa 👇 1. Kuwapa kazi za Ujenzi wakandarasi wa kigeni badala ya wazawa Kwa...
  3. PLATO_

    Kwanini Shilingi inazidi kupoteza thamani yake dhidi ya Dola?

    Kipindi nipo chuo miaka miwili iliyopita nilikuwa naona USD inacheza kwenye Tsh2300 hivi lakini hivi sasa Dollar imepanda sana. Hii inamaana gani kwenye uchumi wetu? Kwanini Shilingi inadhidi kupoteza Thamani yake dhidi ya Dollar? Labda tuseme uchumi unakuwa kwa maana hiyo hata Garama za...
Back
Top Bottom