dola ya mtaa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. LGE2024 Mgombea Mtaa wa Mshikamano, Mbezi Louis: Tutatumia njia yoyote dola ya Mtaa ibaki CCM

    Huyu ni Mgombea wa nafasi katika Serikali ya Mtaa Mshikamano, huko Mbezi Louis, jijini Dar. Anaitwa Masoud “Lupenga” Mbaruku. Kwenye moja ya kampeni zake ameahidi kuwa watafanya vyovyote vile kuhakikisha dola ya Mtaa wa Mshikamano inabaki kwenye chama chake cha CCM.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…