Habari wadau.
Nina miliki website tatu kwa sasa na ninafikiri kuongeza moja hivi karibuni. Kila aliyenitengenezea website aliweka package ya domain name na hosting kwa mwaka mmoja bure. Baada ya mwaka nikaanza kulipia domain name na hosting ambayo kwa website 3 si haba.
Nimefikiria kununua...
Habari nipo hapa kuwajuza wote watakao penda kumiliki blogu nipo kufanya kazi hiyo
Ofa kwa mwana jamiiforums wote
Bei 10,000 bila domain
Na 15,000 kwa blogu ambayo inakuja na domain name ya .com
Mfano wa blogu nilionayo ni hii
www.issazilla.com
Karibu PM or email: heavyboy255@gmail.com
Habari wanajamvi,
Hapo nyuma, niliuliza swali. Hili hapa:
Leo asubuhi nilipata email kutoka Dudumizi, kuwa reservation zimeanza. Nilipiga simu DuHosting, wakaelezea yafuatayo:
Sasa hivi wanafanya reservation, kama ulisharegister jina lolote lenye format ya .xx.tz (iwe .co.tz, .ac.tz etc)...
Je unajua kwamba domain name ni mtaji?
Unapoona jina kama jamiiforums.com hii ni domain name unapoona jina kama tzhosts.com hii ni domain name.Leo nataka tuzungumzie kidogo maana na umuhimu wa domain na jinsi ambavyo unaweza kuitumia ili kujiongezea pesa.
Ngoja niwape mfano.Leo hii unaweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.