Dar es Salaam.
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kivukoni imewahukumu adhabu ya kifungo cha maisha jela vijana watatu waliokuwa wanajishughulisha na uzalishaji na usambazaji wa pombe kali bandia.
Ni baada ya kuwatia hatiani kwa kosa na kukutwa na kemikali hatarishi aina ya ‘ethanol’ isivyo halali...
Hii ni kwa wadau wa pombe za bei chee, nyie wa K Vant, Konyagi, Black and White, Tequila, Sambuca, Johnny Walker ya Pascal Mayalla mtuache kidogo, Watanzania halisi tuna jambo letu.
Double Kick ilipoingia sokoni kuchukua nafasi ya viroba chapa jogoo na viroba vya Konyagi, ilipata wateja wengi...
Jana na juzi nimezisaka mitaa ya huku Mbezi hakuna kote nikambiwa kwamba zimezuiwa kuna tatizo ila kengele fulani ikalia kichwani last week mara mbili nilitapika baada ya kunywa double kick 2 plus safari 3 nikadhani labda nilikula chakula kibaya.
Anyway jana nilitumia rivella nikamix na safari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.