drake

  1. errymars

    Drake Ataweza kufanya kwenye Kombe la Dunia alichokifaya Kendrick Lamar SuperBowl?

    https://fntaz.com/drake-ataweza-kufanya-kwenye-kombe-la-dunia-alichokifaya-kendrick-lamar-superbowl/
  2. Khanji kapoor

    Serena Williams apanda jukwaani kumsapoti Kendrick ili kumuumiza X wake Drake

    Nimeamini mwanamke anaumia sana kuachwa na mwana anayempenda 😄 Kama mnavyojua Drake ni muhuni afu mwana, Serena Williams alimtongoza mwana akamwaga tui la nazi kisha akapiga chini ilimuuma sana Serene hadi akachukia Black akaolewa na mzungu Sasa bi dada kidonda hakijapona jana Kendrick...
  3. CARIFONIA

    Hawa Marapa walimkataa Drake na muziki wake

    Mvutano Kati ya Drake na Marapa Dmx, Mos Def, Joe Budden na Kendrick Lamar Mvutano kati ya Drake na marapa wengine umekuwa sehemu ya historia ya muziki wa hip hop, ukionyesha jinsi ushindani na migogoro ya kibunifu inavyochangia kukua kwa tasnia hii. Hapa kuna muhtasari wa migogoro hiyo: 1...
  4. Feisal2020

    "J.Cole Apologizing Was The Best Move he Did his Entire Career"

    Kuna uzi upo humu jukwaani tulikuwa tunabishana na majamaa kuhusu hizi diss tracks zinazotolewa na Kendrick Lamar na Drake. Hii bifu tunaoifaidi vizuri ni sisi tusio mashabiki wa Kendrick wala Drake. Mashabiki wa Kendrick watasifia tu Euphoria kuwa diss track kali lakini ukiwa serious huwezi...
Back
Top Bottom