drone

Drone warfare is a form of aerial warfare using unmanned combat aerial vehicles (UCAV) or weaponized commercial unmanned aerial vehicles (UAV). The United States, United Kingdom, Israel, China, South Korea, Iran, Italy, France, India, Pakistan, Russia, Turkey, and Poland are known to have manufactured operational UCAVs as of 2019. As of 2022, the Ukrainian enterprise Ukroboronprom and NGO group Aerorozvidka have built strike-capable drones and used them in combat.Drone attacks can be conducted by commercial UCAVs dropping bombs, firing a missile, or crashing into a target. Since the turn of the century, most drone strikes have been carried out by the US military in such countries as Afghanistan, Pakistan, Syria, Iraq, Somalia, Yemen and Libya using air-to-surface missiles, but drone warfare has increasingly been deployed by Russia, Ukraine, Turkey, Azerbaijan and by militant groups such as the Houthis. Drones strikes are used for assassinations by several countries.In 2020 a Turkish-made UAV loaded with explosives detected and attacked Haftar's forces in Libya with artificial intelligence and without command, according to a report from the UN Security Council's Panel of Experts on Libya published in March 2021. It was considered the first attack carried out by an AI UAV.

View More On Wikipedia.org
  1. D

    China ni kama maji usipoyaoga utayanywa - India yasitisha ununuzi wa drone

    India ina mgogoro wa mpaka na China. Sasa ilikuwa imeeweka oda ya drone 400 kwenye makampuni yake ya ndani kwa ajili ya usafirishaji wa vifaa kwa majeshi yaliyo mpakani. Sasa imekuja kugundua hizo drone zina vifaa kutoka China. Inadaiwa uchunguzi wao ulianza hapo awali baada ya drone zao za...
  2. Tafsiri ya neno "drone" kuwa "ndegenyuki"

    Kulikuwa na ubaya gani kama tungetohoa neno drone la kiingereza liwe droni kwenye kiswahili? Hii kuiita ndegenyuki ni direct translation ya kijinga. Mbona wale nyuki wanaoitwa drones kwa kiingereza wanaitwa nyuki tu kwa kiswahili? Sasa hii ndegenyuki inatokea wapi?
  3. U

    Khalil Muhammad Amhaz kamanda mwandamizi Hezbollah kitengo cha drone maarufu kwa jina la unit 127 auawa kwa shambulizi la ndege za IDF

    Wadau hamjamboni nyote? Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo: Mungu ibariki nyumba ya Yakobo October 23, 2024 IDF: Prominent member of Hezbollah drone unit killed in airstrike By Emanuel Fabian Follow Today, 9:12 am A prominent member of Hezbollah’s drone unit was killed in an Israeli...
  4. Maariv Media Israel : Iran yapokea SU 35 fighter jets, S-400 Air defense System kutoka Russia na laser Anti - drone system silent Hunter" kutoka China

    Chombo cha habari Maariv kutoka Israel kinaripoti kuwa tayari Iran imepokea silaha za kisasa ikiwemo ndege vita Chapa SU 35 kutoka Russia na air defense system S-400 , Hali kadhalika Iran imepokea kutoka China Laser Anti -drone system. Habari hii pia imeripotiwa na vyombo mbalimbali vya habari...
  5. Angalia jinsi ndege isiyotumia rubani (drone) ikikatiza kwenye anga la Israel mpaka kwa Netanyahu!

    Vipi waliiacha makusudi?? Helikopta ilishindwa kuitungua?? Nyumbani kwa Netanyahu Nb:Muda utasema!
  6. Video: Benjamin Netanyahu ajitokeza hadharani kibabe baada ya kuwepo na taarifa ya nyumba yake kushambuliwa na drone

    Wakuu, Kuna hii video inasambaa. Baada ya taarifa kutapaka mitandaoni kwamba nyumba ya Benjamin Netanyahu imeshambuliwa na drone kutoka kwa Hezbollah na kusababisha wengi kuhoji usalama wa kiongozi huyo, hatimaye simba huyo wa vita amejitokeza. Soma pia: Makazi ya Netanyahu yaliyopo Caesaria...
  7. Makazi ya Netanyahu yaliyopo Caesaria yashambuliwa kwa drone

    Asubuhi hii kuna taarifa za kushambuliwa makazi binafsi ya waziri mkuu wa Israel huko Caesaria kwa drone ya hizbullah iliyosafiri 70km bila kuamsha mitambo ya ulinzi ya Israel, drone hiyo ikionekana kupita nyuma ya apache helicopter za Israel. IDF imezuwia habari zozote toka makazi hayo,japo...
  8. K

    Hezbollah yajeruhi zaidi ya wanajeshi 40 kwenye mesi nchini Israel wakati wanakula

    Hezbollah wamefanya shambulio la drone kutokea Lebanon na kupiga kambi ya jeshi ya Golan Brigade Base katika Jiji la Haifa ambapo wanajeshi zaidi ya 40 wamejeruhiwa na wengi wakiwa kwenye hali mbaya huku kukiripotiwa vifaa kadhaa pia. Tofauti ya Israel na Hezbollah na HAMAS ni kua wao...
  9. Tetesi: Inasemekana Mkuu wa Jeshi la IDF Harzi Halevi auwawa kwenye Shambulizi la Drone lilifanywa na Hezbollah hii Leo

    Taarifa hii mpaka sasa haijathibitishwa lakini vyanzo mbalimbali vinaripoti kuwa Bwana Harlevi alikuwa ndio target katika chakula cha usiku na askari wa IDF huko katika mji wa Haifa nchini Israel. Vyombo vya habari vya Israel vinaeleza kuwa Hezbollah walitumia drone ya kisasa ya fiber optic...
  10. R

    Commander mkuu wa Hezbollah kikosi Cha drone auawa

    Anaitwa Mohammed hussain srur, chief commander wa drone wa Hezbollah. Kauwawa na jeshi la anga la Israel. https://youtu.be/NLnHLkpYehk?si=IK1JJeqw15j168Px https://www.dw.com/sw/israel-yafanya-mashambulizi-mapya-nchini-lebanon/a-70342374 https://youtu.be/eoHMlraouQ0?si=izqhjMv6KF2h5drt
  11. U

    Kwa mara nyingine leo ijumaa kiongozi mwingine wa Hezbollah Saeed Mahmoud Diab auawa kwa drone ya IDF, akiendesha gari

    Wadau hamjamboni nyote? IDF wameamua na wamedhamiria kuhakikisha kuwa Viongozi white wa magaidi wanatangulia mbele za haki Nia wanayo, sababu wanayo na uwezo wanao! Leo kwa mara nyingine tena wamefanikiwa kuliua kubwa lingine la magaidi likiwa ndani ya gari lake huko Lebanon ya Kusini IDF...
  12. Serikali kuanza kutumia ‘drone’ kwenye uchimbaji wa madini Kijiji cha Lemishuku

    WAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde amefanya ziara kukagua shughuli za uchimbaji madini na kusikiliza changamoto za wachimbaji wadogo katika eneo la Lemishuku,Wilayani Simanjiro eneo ambalo ni maarufu kwa uchimbaji wa madini vito ya Green Garnet Waziri Mavunde amepata nafasi ya kukagua uwekezaji...
  13. Mlipuko Tel Aviv: Hii drone iliwezaje kupenya?

    Mapema leo huko Tel Aviv kumetokea mlipuko karibia na ubalozi wa Marekani na kusababisha majeraha. La kujiuliza ni aina gani ya drone iliyotumika kwenye shambulio hili yaani watu wanastukia kitu kinalipuka na hakuna onyo lolote! Udini na mahaba weka pembeni! ‘Suicide drone’ explodes near US...
  14. Explosion in area of Iran’s main drone factory

    Channel 12 airs footage of an explosion three nights ago in the area of Iran’s main drone manufacturing plant near the city of Kashan. The video, taken from a main road, shows what appears to be air defense batteries firing into the air, followed by an explosion. According to the report, the...
  15. Napenda kupata elimu kama kuna masharti ya kurusha drone za kupiga video Tanzania

    Niliwahi kusikia kuhusu utaratibu wa kurusha drone lazima uwe na kibali.Je hata nikiwa na drone ndogo za kupiga picha na video binafsi natakiwa kuwa na kibali? Naomba elimu kidogo kama si kosa kumiliki na kurusha drone ndogo kwa matunizi binafsi
  16. Drone ya Kijasusi ya US imepotea kwenye rada huko Black Sea

    Drone ya upelelezi ya US imepotea kwenye rada wakati ikiendelea na jukumu la Kijasusi huko bahari nyeusi. Wachunguzi wa mambo wanasema Russia ameishusha na kupeleka kusikojulikana. #BREAKING: US drone Global hawk flying over black sea to collect intelligence of Russian naval fleet, got...
  17. Yemen Downs yet ANOTHER U.S. MQ-9 "Reaper" Drone

    Yemen Downs yet ANOTHER U.S. MQ-9 "Reaper" Drone MAY 16, 2024 An American MQ9 drone was shot down by a Yemeni drone by the Houthis "Ansar Allah" organization in Marib Governorate, Yemen, today. THis is the FOURTH US MQ-9 "Reaper" to be shot down by Yemen this year. This may be the first...
  18. Israel yajibu mashambulizi dhidi ya Iran. Yashambulia Iran, Syria na Iraq

    Habari za muda huu. Kumeripotiwa milipuko mikubwa kadhaa ndani ya Iran, Syria na Iraq. PIA SOMA: - LIVE - UPDATES: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Iran na Israel - Mafuta kupanda bei baada ya israel kurusha makombora Iran ==== Israeli missiles have reportedly hit the Iranian city of Isfahan...
  19. Jordan: Watatu wafariki kwa kudondokewa na drone iliyodunguliwa

    Jordan: Watatu wafariki kwa kudondokewa na drone iliyodunguliwa Shirika la usalama nchini Jordan "Royal intelligence" limeripoti kwamba Watu Watatu wamefariki dunia kwa kulipukiwa na suicide drone ya iran waliyoidungua wakati wakijaribu kuiokoa Israel dhidi ya mashambulizi ya Iran usiku wa...
  20. U

    Iran yaishambulia Israel kwa makombora

    #LIVE UPDATES: SHAMBULIZI LA IRAN DHIDI YA ISRAEL Jumanne April 16, 2024 Jeshi la anga la Israel linakamilisha maandalizi ya mwisho Ili kuivamia Iran Israel yaitaarifu Marekani kuwa italipiza kisasi dhidi ya Iran Waziri Mkuu wa Uingereza Sunak kuzungumza na Waziri Mkuu Benjamin Netanyau...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…