The Drones Club is a recurring fictional location in the stories of British comic writer P. G. Wodehouse. It is a gentlemen's club in London. Many of Wodehouse's Jeeves and Blandings Castle stories feature the club or its members.
Various members of the club appear in stories included in the "Drones Club series", which contains stories not already included in other series. Most of the Drones Club stories star either Freddie Widgeon or Bingo Little.
The name "Drones" has been used by several real-life clubs and restaurants.
Teknolojia ya AI na drones inaleta mapinduzi makubwa katika sekta ya kilimo cha misitu, ikilenga kuongeza uzalishaji kwa njia endelevu huku ikilinda mazingira ya asili.
Kwa kutumia teknolojia hizi, wakulima wanaweza kufuatilia afya ya misitu, kupunguza uharibifu wa mazingira, na kuongeza tija...
Kuna watu watabisha ila ukweli uwezi semwa kwa kipigo wanachokipata urusi na drone za kamikaze za ukraine.
Hii teknolojia inaonenyesha kuwa na makali sana maana si rahisi kuikamata kama lile bajaji drone la iran.
https://www.youtube.com/watch?v=IO4_fzKiycA...
Hili liinchi la DRC kuna wakati huwa linaboa, yaani kila siku kulia lia, hako kainchi kadogo size ya mkoa kanawasumbua kivipi, kwani wakiamua kutuma maelfu ya wanajeshi kwenye huo mpaka wa DRC na Rwanda hawataweza kukadhbiti?
Wamesaidiwa na wanajeshi kutoka kote lakini kila siku ni kilio...
Wenzetu wanaendelea kufanya makubwa wakati huku Afrika tupo tupo almradi siku zisonge....huu mfumo unaangusha drone ya aina yoyote.
DragonFire laser demonstration. (Supplied, UK government)
The UK successfully fired a high-powered laser weapon at an aerial target, in what could be a...
Hizi habari zinanichanganya, mbwa kala mbwa au mwenye uelewa wa hawa watu atusaidie, iweje Oman huko huko wakamate drones zinazopelekwa Yemen kutokea UAE, si wote kitu kimoja?
=====
Omani customs authorities seized a shipment of drones hidden in a truck from the UAE heading for Yemen on 10...
Muhimu sana dunia ikawa tayari kupambana na haya magaidi ya kidini yakiongozwa na kubwa lao Iran...
India has said it is sending three warships to the Arabian Sea after a drone hit an "Israel-affiliated" merchant vessel off its western coast last week.
MV Chem Pluto was attacked about 200...
Duru za kijeshi za Marekani zinaripoti kuwa meli ya mizigo inayomilikiwa na bilionea wa Israel imeshambuliwa na ndege isiyo na rubani na kusema, "Drone hiyo inashukiwa kuwa ya Iran."
Afisa huyo alizungumza na shirika la habari la Associated Press kwa sharti la kutotajwa jina na kusema kuwa meli...
Jamaa wanajipigia viwanda, kila siku wanabishana baina yao kipi wapige leo....
Strike drones attacked the Russian Smolensk Aviation Plant, where Kh-59 missiles are produced, on 1 October, with three of the four drones hitting the target.
Source: press service for Defence Intelligence of...
Mifumo ya Urusi imeshindwa kuzuia mvua ya mabomu ya drones.....miji inapigwa kizembe sana.
SCREENSHOT
Drones attacked the Russian cities of Smolensk and Sochi on the morning of 1 October. Explosions can be heard on videos shared on social media.
Source: Ostorozhno, Novosti (Careful, News)...
Kwamba drones zinaingia na kutoka zitakvyo, asema suluhu itafutwe itakayogharimu hela nyingi sana maana ni fedheha....
Self-proclaimed President of Belarus Alexander Lukashenko is "thinking about how to counter" attacks on Russian territory, but it’s going to require "hundreds of millions of...
Viwanda vya drones Ukraine vinazalisha kwa wingi, maelfu na kwa sasa Ukraine hawapotezi muda, wanazituma Urusi na kupiga popote na kote, anga za Urusi zimekua balaa, milipuko mikoa sita kwa mpigo.
Russia said that Ukraine launched drones against targets in six Russian regions, including an...
Hizi drones yaani tu, ndio vita vya kisasa, maskini Putin............
On the night of 26-27 August, the military counterintelligence service of the Security Service of Ukraine (SSU) struck Russian Su-30 and MiG-29 aircraft, as well as S-300s and Pantsirs, at the Kursk airfield with 16 drones...
Dah! Haya mambo ya drones ndio future, sijui Afrika tunajipangaje, yaani ndege za kivita tena za gharama zinapotezwa na drones kizembe tu............Mrusi hatokaa asahau huu ujinga alioanzisha.
As a result of the attacks on the Soltsy and Shaikovka airfields, two Tu-22M3 strategic bombers were...
Supapawa anaendelea kupokea mapigo....
The Russian capital was once again attacked by drones on the night of 21-22 August, with a high-rise building and cars damaged in the city of Krasnogorsk, Moscow Oblast.
Russian news agency Astra on Telegram; Russian Telegram channel Baza; Russian...
At least seven people, including a child, were killed and 129 were wounded in a Russian missile strike on the northern Ukrainian city of Chernihiv on August 19, Ukraine's Interior Ministry said, while President Volodymyr Zelenskiy said a "terrorist state" had carried out the attack and caused "a...
Wenzetu teknolojia zao ziko mbali sana, yaani drone inapaa na kumulika hadi chini ya ardhi na kugundua mabomu, Warusi waliposhindwa mapambano walifukia mabomu na kutoroka.
A demonstration of the thermal vision of the new military-grade drone in Kyiv, Ukraine, on June 20. Alex Chan Tsz Yuk/SOPA...
Urusi ijiandae kwa mvua ya drones.....
Warusi walikosea sana kuanzisha huu ugomvi bila kushirikisha ubongo.....
Mykhailo Fedorov, Ukraine's Minister of Digital Transformation, has announced a UAH 235 million (US$6.3 million) fundraising campaign to buy 10,000 kamikaze drones.
Source: Fedorov...
Ifahamike sasa Ukraine wana viwanda vyao vya drones, Mrusi ajiandae kupambana na maelfu ya drones kote kote, wanapiga Moscow na Crimea, maeneo ambayo Putin alisema yakiguswa atafanya kitu.
17 Ukrainian drones attacked a logistics base of Russian troops near Yevpatoriia in occupied Crimea on...
Alishaonya rais wa Ukraine, mtasikia mashambulizi ndani ya Urusi......haya
Siku hizi ukimwaga mboga, hatumwagi ugali, tunatafuta mboga nyingine...
The number of people injured in an explosion at an industrial plant northeast of Moscow has increased to at least 45, the administration of the...
PHOTO: RUSSIAN AIRPORT OF VNUKOVO
The Russian airport of Vnukovo was closed for takeoff and landing on the afternoon of 6 August, allegedly due to "dangerous targets" in the sky.
Source: Russian state-owned news agency TASS; Mash Telegram channel; Moscow Mayor Sergei Sobyanin, on Telegram...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.