dr.wilbroad peter slaa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Tlaatlaah

    Hivi kuna mjumbe hata moja wa mkutano mkuu wa CHADEMA Taifa anaweza kushawishiwa na Dkt. Wilbroad Peter Slaa?

    Kwamfano, Nani anaweza kumuamini Dr. Slaa kwasasa au kushawishika na aina ya siasa zake, maoni na mtazamo wake uloshikiliwa na diasporas, Lakini pia maisha ya kisaliti kwasababu tu ya tamaa za kimwili, vyeo na mali? Hivi kuna kijana yoyote Tanzania anaweza kujitokeza, akajipiga kifua mbele ya...
  2. Tlaatlaah

    Tundu Lissu akijiengua au kubanduliwa CHADEMA, Willbroad Slaa atarejea rasmi na kupewa fursa ya kugombea urais kupitia CHADEMA 2025.

    Hautapita muda mrefu, mara baada ya Tundu Lisu kuondoka chadema, Dr.Wilbroad Peter Slaa atarejea Chadema na kupewa fursa ya moja kwa moja kugombea nafasi urasi Oct 2015. Huyo ndie hasa alikua chaguo namba moja, kama mgombea urais wa Chadema Oct 2025. Wanaojaribu kumu-outshine na kumu-thwart...
  3. Manyanza

    Freeman Mbowe mwanasiasa, mfanyabiashara na mkulima asiye ogopa hasara

    Miaka 64 iliyopita familia moja ya kitajiri mkoani Kilimanjaro ilipata mtoto wa mwisho wa kiume ikamuita "Freeman" kwa maana ya mtu huru. Jina lake na mazingira yake ya malezi na makuzi ndiyo kitu kinachovutia watu wengi kutaka kumfahamu zaidi. 1.Imewezekanaje mtoto wa familia ya...
Back
Top Bottom