dse

Deep Space Expedition Alpha (DSE-Alpha), is the name given to the mission proposed in 2005 to take the first space tourists to fly around the Moon. The mission is organized by Space Adventures Ltd., a commercial spaceflight company. The plans involve a modified Soyuz capsule docking with a booster rocket in Earth orbit which then sends the spacecraft on a free return circumlunar trajectory that circles around the Moon once. While the price was originally announced in August 2005 to cost US$100 million per seat, Space Adventures founder Eric Anderson announced in January 2011 that one of the two available seats had been sold for $150 million.

View More On Wikipedia.org
  1. U

    Wachaga ni moja ya wanaoongoza uwekezaji DSE na UTT, T Bond

    Habari za Jua kali Wakazi wa Duaniani. Kuna mahala nimesikia habari ya kwamba, Katika Tasnia ya Uwekezaji hasa katika passive income ,inayowekezwa Kwa kununua Hisa, Vipande au ,Bond watanzania wengi bado wapo nyuma sana, na ni Jamii moja tu ya Wachaga ambayo ndo Inaonekana ikifanya Vizuri...
  2. Tabutupu

    Pelekeni SGR as a seperate company DSE kabla haijaanza kuleta hasara , tupo tayari kuwekeza.

    Serikali imetangaza SGR imekusanya bil 15 kwa miezi hii michache japo haijasema matumizi ni kiasi gani bado kuna dalili njema kwamba mambo ni mazuri. Serikali iuze share kwa watanzania , ili kukuza mtaji na kuboresha utendaji. Serikali ibakie na 49 % na itakua na uhakika wa kupata gawio kubwa...
  3. Powell Gonzalez

    Nina swali kuhusu DSE( Dar es Salaam stock exchange)

    Habari za muda huu wakuu, mimi nilikuwa na swali kidogo kuhusu DSE. Hasa kuhusu namna ya kujisajili na namna ya kupata brokers. Mwishoni mwa mwaka jana nilijisajili na nahisi nilitumiwa baadhi ya taarifa ambazo (kutokana na kutokuwa makini) nilizipoteza. Nikajaribu kuforget password system...
  4. Masokotz

    Fahamu kuhusu Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE)

    Habari za wakati huu, NI matumaini yangu kwamba mnaendelea vizuri na kudumu katika ujenzi wa taifa lenu.Kama ilivyo ada leo nimeona nilete mjadala kuhusu soko la HISA la Dar es Salaam.Msingi wa majada huu unatokana na ukweli kwamba uchangamfu wa Soko letu la HISA na mchango wake katika UCHUMI...
  5. hery_edson

    List ya Matajiri 10 katika soko la hisa la Dar es Salaam (DSE) mpaka Juni 26, 2023

    Ifuatayo ni list ya matajiri 10 katika soko la hisa la dar es salaam (DSE) mpka kufikia siku ya tarehe 26-06-2023, kama ilivyoandikwa na THE BUSINESS WIZ siku ya tarehe 30-06-2023. The 10 richest Tanzanians on the Dar es Salaam Stock Exchange Patrick Schegg a former Hedge fund manager, owns the...
  6. amshapopo

    Wataalam wa hisia DSE

    Wasalam, Naomba kujua ni hisa gani zinafanya vizuri Dse kwa sasa? Nataka nijitoe muhanga kununua hisa.
  7. Mukulu wa Bakulu

    Imegundulika kwamba Kampuni ya JATU PLC iliyosajiliwa DSE ni ya kitapeli

    Tanzania haiishi vituko. Soko la Hisa la Dar es Salaam wanafuatilia kampuni ambayo imesajiliwa kwenye soko hilo inayoitwa JATU PLC. Hii ni kutokana na hisa za kampuni hiyo kushuka kutoka TZS 2,900 hadi TZS 290 sawa na angulo la asilimia 90. Angalia hapa. Swali la kujiuliza, kabla ya...
  8. KingOligarchy

    Soko la Hisa la Dar es salaam (DSE) Waungana na CFA East Africa kutoa Mafunzo ya CFA

    Wakuu, Kama kawaida kila siku lazima nipitie kwenye mambo yangu ya uwekezaji , ndipo nilipokutana na hili https://thebusinesswatch.com/cfa-east-africa-signs-an-mou-with-dar-stock-exchange/ https://sokodirectory.com/2022/11/dar-es-salaam-stock-exchange-signs-mou-with-cfa-east-africa-society/...
  9. KingOligarchy

    Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) watangaza Securities Investment and Trading Course kuanza mwezi Novemba

    DSE watangaza certification yao itakayoanza mwezi ujao. Nilifanya course iliyopita na kwakweli madini niliyoyapata yalikuwa yamesimama. huwa naattend sana forums nyingi za investments na personal finance lakini hii course ilinifanya nijue kiundani jinsi soko la mitaji linavyofanaya kazi...
  10. BARD AI

    Thamani ya Soko la Hisa DSE yaporomoka kwa Tsh. Bilioni 323

    Thamani ya hisa zilizoorodheshwa kwenye Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) imeonesha kushuka kwa kasi katika siku 20 zilizopita huku mauzo ya DSE kwa wiki iliyopita yakipungua kwa 21.62% hadi kufikia Tsh. Milioni 890.43 kutoka Tsh. Bilioni 1.13. Kwa mujibu wa ripoti za DSE, jumla ya mtaji wa...
  11. KingOligarchy

    Soko la hisa la Dar es Salaam (DSE) watangaza securities investment and trading course (SIT) kuanza mwezi ujao

    DSE watangaza certification yao itakayoanza mwezi ujao. Baada ya kuangalia content nimeona walimu watakaofundisha ni kutoka watu wenye experience kutoka vitengo vya Treasury - Bank, UTT Amis watu wa portfolio management , kuna wengine pia ni CFA Holders! Kudos DSE this is good work, Tukutane...
  12. U

    Kwanini Makampuni Makubwa ya Gas na Madini hayapo soko la Hisa DSE tofauti na Ulaya

    Kwanini Makampuni Makubwa yaliyowekeza nchi mbalimbali duniani ikiwemo Urusi, Ulaya, USA na China yameorodheshwa kwenye stock market za nchi husika Ila Tanzania Makampuni Makubwa ya Gesi na Madini hayapo, Tena mengine yanafanya kazi hapa lakini yapo kwenye masoko ya Hisa ya Ulaya. Au mi...
  13. L

    Kuwekeza, Kutunza pesa, Uhuru wa kifedha

    Personal Fınance, Hili ni somo muhimu sana ambalo kila mwanadamu angeweza kuliishi basi tungekua tumefanikiwa kuwa na uhuru wa kifedha kwa asilimia kubwa sana. Personal Finance ni uwezo wa mwanadamu kutenga pesa kwaajili ya matumizi yake ya sasa na ya baadae. Tunashauri mtu afate njia ya...
  14. chilembah

    Je, ni Broker gani mzuri kumtumia DSE?

    Habari wadau, Naombeni ushauri na elimu juu ya Brokers wa DSE. • Je, ni vigezo gani naweza kutumia kutambua ubora wa Broker. • Kama uliwahi kushiriki katika soko la DSE je, ulitumia Broker gani na kwanini ulimchagua huyo Broker. Natanguliza Shukrani. Karibuni.
  15. M

    Changamoto na uzembe wa wahusika wa DSE mobile APP

    Kama mmoja wawatumiaji wa Mobile Trading iliyoanzishwa na Dar es salaam Stock Exchange siku za husoni napenda kuzungumzia yafuatayo kwa kuwasadia watumiaji wa sasa na wajao pamoja na kuwajibishwa na wanaosimamia hiyo DSE mobile Application. 1. Kwa uwelewa wangu mdogo , Mobile App yoyote kabla...
  16. H

    Msaada - Wataalamu wa DSE (Dar es Salaam Stock Exchange)

    Habari ndugu. Naomba kupata elimu ya hawa DSE pamoja na namna ya kutumia hiyo application yao kununua hisa. Ahsanteni.
  17. mulumbu

    Msaada wa suggestions za broker responsive DSE

    Habari, naomba msaada wa kuapata suggestions za majina ya brokers wa DSE ambao kwa experience zenu wapo active, responsive kwa wateja wanaotaka kufanya trading ya kuuza na kununua hisa hasa kwa mihamala midogo midogo. NB. Kwa experience binafsi response sio mzuri mabroker hawajibu. Asante
  18. Dantefx

    How to buy your share in Dar es salaam stock exchange

    How to Invest on the Dar es Salaam Stock Exchange If you really want to invest at the furthest reaches of Africa’s frontier markets, the Dar es Salaam Stock Exchange (DSE) is for you. The little market lists only 11 local companies and trade volumes often don’t exceed $500,000 per week. But the...
Back
Top Bottom