Kuna watu wanaliwa kwenye dubwi mpaka wanachanganyikiwa.
Nishashushudia jamaa ameliwa laki 2 ya mtaji wa biashara ya mke wake kwenye dubwi.
Mkewe alimtuma akamnunulie vifaa vya kupikia vitafunwa kwa ajili ya biashara na ndo pesa pekee waliyokuwa nayo.
Jamaa kapita karibu na dubwi akapata...
Tumia hizi mbinu kulila DUBWI kirahisi
Unapotaka kucheza mara ya kwanza ,anza kuweka coin Moja ili ujue anaenda kuangukia mnyama gani hii itakusaidia kwa sababu wanyama mara nyingi wanajirudia
Mchezo wa pili unaofuata weka coin tatu Moja mnyama aliyepita mbili wanyama wawili wapya nenda na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.