dudu baya

  1. Huihui2

    Dudubaya: Lissu hawezi kuwa Mwenyekiti CHADEMA

    Msikie kwenye hii video:-
  2. Udart

    Huenda bwana Dudu Baya akawa ndio akawa ndio Mshauri mashuhuri wa NCHI!

    Heri ya Xmas Niende kwenye mada kwa Tanzania asaiv huenda bwana DUDU BAYA akawa ndio MSHAURI mashuhuri wa NCHI hii ni baada ya kuona ikitokea sintofahamu yoyote nchini waaandishi mara moja hukimbilia kumuomba ushauri au maoni iwe kisiasa kimapenzi nk...
  3. Manfried

    Dudu baya, Mtoto wako Wile yupo na hali mbaya jaribu kumuokoa anateketea .

    Familia ya dudu baya (msanii) mtoto wenu anaitwa Wille Yupo analala nje coco beach amedata Kwa kulinda privacy sitoweka Picha yake . Huyu Kijana anatumia Bangi, Pombe , na uchafu mwingine Amedata kiakili analala Nje , mchafu hana nguo , akili haifanyi kazi . Unfortunately Baba yake anapitia...
  4. dr namugari

    Mzee wa Upako na Dudu Baya mmelidharau bunge la Tanzania

    Leo sijui kumetokea nn kwenye mitandao Ya kijamii yaani clipu fupi fupi za mzee wa upako na dudu baya wakitema nyongo zao juu ya bunge hili la spika Tulia Mzee wa upako yeye alifika mbali kwa ssa hivi yeye hawezi kupoteza muda wake kulitazama bunge hili , kwani wabunge waliopo hawajui lolote...
  5. Yoda

    Dudu baya kauliza maswali ya msingi kuhusu Airport ya Dar es Salaam(JKNIA)

    Kwa nini Airport ya Dar es Salaam huwa hawauzi Ugali, ubwabwa kama wa mtaani, pilau, ndizi, mchicha, metembele, magimbi, mihogo, viazi vitamu, dagaa, chips mayai(zege) na vyakula vingine vya aina hiyo vya Kiswahili, Kitanzania au kiAfrika zaidi? Soma Pia: Unauonaje ushauri wa "Dudubaya" kuhusu...
  6. T

    Dudu Baya: Kinachofanya Tanzania itulie tofauti na jirani zetu ni kuwa sisi tumenyimwa elimu ya haki zetu. Wenzetu wanayo

    Akizungumza kwenye moja ya blog za mitandaoni msanii huyo mkongwe amesema kuwa inayoitwa amani tuliyonayo Tanzania ni kwa vile tu wananchi wamenyimwa elimu ya haki zao. Amesema kwa mtanzania akiwasha runinga akaona kipindi kinaongelea mambo ya katiba anahamisha hiyo chanel haraka sana...
  7. Determinantor

    Dudu Baya ampa za uso Msigwa

    Kama huna bando sio kosa langu, hebu sikiliza hapa Chini https://vm.tiktok.com/ZMrCXakBB/
  8. Erythrocyte

    Dudu Baya amshusha kwenye gari na kisha kumkaba Saimon Mkondya (Mr Manguruwe)

    Hivi huyu Manguruwe ni nani na katokea wapi? lengo lake nini? Leo kakutana na kipondo cha Dudu baya kwa madai ya kumkashifu. --- Siku chache baada ya mfanyabiashara na mmiliki wa mradi wa kijiji cha nguruwe, Saimon Mkondya kumsemea mbovu msanii mkongwe nchini Dudubaya, msanii huyo amemtimbia...
  9. B

    Dudu Baya: Misikiti na Makanisa yajenge nje ya Makaazi ya watu

    Dudu Baya awaasa viongozi wa kiimani na pia kuwasisitiza kujenga nyumba za ibada katika sehemu tulivu zenye nafasi ya kujenga madrasa, Sunday schools, misikiti na makanisa ambazo hazijapakana na mabaa au kumbi za muziki au stendi za mabasi, masoko n.k https://m.youtube.com/watch?v=jXu_AGfnkTU...
  10. muafi

    Muonekano wa Dudu Baya unasikitisha. Mliomtumia kumchafua Ruge mpeni msaada

    Kama mnavyomuona huyu mwamba, inaonekana ana hali mbaya sana, inamaana wale mliokua mnamtumia amchafue Ruge na Cloudz. Mmemtema au?
  11. H

    BASATA lamfuta usajili “Dudubaya”

    Baraza la Sanaa Tanzania lamfutia usajili msanii Godfrey Tumaini maarufu Kama "Dudu baya" kwa kosa la kutumia mtandao wake wa Instagram kuwatukana wadau wa mziki. Hivi karibuni msanii huyo alitumia maneno mabaya na kauli chafu kumtupia Mkurugenzi Mkuu wa Benchmark "Madam Rita" kwenye sakata...
  12. H

    Dudu Baya: Ashangazwa na media kukuza vitu vya hovyo

    Mwanamziki Dudu baya a.k.a Konki Konki Konki Master ashangazwa na kitendo cha media nyingi kurusha vitu vya hovyo hewani pamoja na kuwahoji watu kama James Delicious, Amber Rutty ambao wanasifika kwa mambo machafu lengo lao ni nini? Dudu Baya "Ameongeza pia kuna siku nilisikia mtangazaji ana...
  13. H

    Dudu baya afunguka kuhusu tamko la BASATA

    Msanii Dudu amefunguka baada ya kusikia kufungiwa mziki wake amesema sijapata wala kupokea barua yao so nitaendelea na mziki wangu Kama kawaida mpaka pale nitapopata barua yao alafu pia me sijafanya kosa lolote kwanini kuzungumzia kwangu na kukea matendo ya usagaji, ushoga na ufiraji ninaonekana...
Back
Top Bottom