Hivi huyu Manguruwe ni nani na katokea wapi? lengo lake nini?
Leo kakutana na kipondo cha Dudu baya kwa madai ya kumkashifu.
---
Siku chache baada ya mfanyabiashara na mmiliki wa mradi wa kijiji cha nguruwe, Saimon Mkondya kumsemea mbovu msanii mkongwe nchini Dudubaya, msanii huyo amemtimbia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.