Nilikuwa youtube hapa nasikiliza ngoma mbalimbali zilizopendwa.
Ukaingia wimbo wa Hunifahamu ulioimbwa na Dully Sykes, mwishoni Dully anataja mwaka 2005 ambao ametoa wimbo huo .
Nikashtuka leo ni mwaka 2005 takribani miaka 20 imetimia, hakika sasa mimi ni mzee.
Yuki wapi aliyesema uzee...
Amani iwe kwenu wakuu
Kuna member wa JamiiForum aitwaye screpa alileta uzi kumhusu msanii dully skys naona leo BBC wamepita nao kiaina
Soma pia: Kwanini Dully Sykes anasema yeye ndiye Mwanzilishi wa Bongofleva?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.