Yaani nimejikuta nacheka sana ndani ya daladala baada ya kumuona mwamba akigandamizia zipu yake kwa abiria wa kike aliyekuwa mbele yake na kila dada wa watu alipokuwa akisogea mwamba nae alikuwa akiambaa nae tu na chaki mpaka dada alipomshtukia na kumgeukia huku akimsonya huku mwamba akijikausha...