duni

Duni is a surname. Notable people with the surname include:

Egidio Duni (1708–1775), Italian composer
Elina Duni (born 1981), Swiss-Albanian singer and composer
Juma Duni Haji (born 1950), Tanzanian politician and civil servant

View More On Wikipedia.org
  1. N

    Tujikumbushe: Weledi wa Barbara kupinga ubaguzi wa Manara dhidi ya uwezo duni wa Engineer Hersi kiuweledi

    Hakuna mtu anayestuka na ujinga wa sope takadini ni kama toto dogo linalochezea matope lakini wengi wamestuka sana kuona ujinga wa kitoto unaofanywa na Hersi na Arafat, vijana wanodaiwa kuwa ni wasomi (may be walifoji vyeti, who knows) waliyoyafanya Jumamosi ni kituko sana wao wanajiona wajanja...
  2. SoC02 Uduni wa taarifa(Data), ni chanzo cha huduma mbovu za afya

    Ubora Wa Taarifa (Data Quality), Ni mnyororo wa Taarifa sahihi za mtu, kitu au huduma Fulani katokana na mahitaji au Mazingira ya Umuhimu wa taarifa hiyo. Huduma Bora ya Afya, Ni Mnyororo sahihi wa upatikanaji wa taarifa za kiafya kutoka kwa Watoa huduma, Kituo Cha Afya au kitengo maalumu kwa...
  3. Uganda: Wauguzi na Wakunga waanza mgomo kisa maslahi duni

    Umoja wa Wauguzi na Wakunga wa Uganda (UNMU) umetangaza kuanza mgomo kuanzia leo Mei 26, 2022 kutokana na malipo duni, ikiwa na maana wanaungana na wataalam wa afya wengine walioanzisha mgomo tangu Mei 16, 2022. Rais wa UNMU, Justus Cherop Kiplangat amesema amefikia maamuzi hayo kutokana na...
  4. K

    Kwanini hali ya kilimo chetu ni duni

    Kilimo katika nchi hii ni duni sana kutokana na serikali kutothamini wananchi wake hasa wengi wanaoishi vijijini. Sisi ndo wapiga kura lakini kamwe serikali yetu haina habari na maendeleo ya wakulima. Nitoe mifano michache tu kuelezea hii hoja yangu. Serikali imekuwa ikitoa miongozo mizuri...
  5. Sitathubutu kuoa mwanamke mwenye elimu duni

    Nimesikia watu kadhaa wakisema wanawake wasiosoma ndio wazuri, lakini naona kwa karne ya sasa hali inaweza kuwa tofauti. Nimewahi kuwa na wasichana kadhaa, wengi wao ni wale ambao nafanana nao elimu, ila nikajitela kuja kuishi na mwanamke ambaye nimemuacha parefu. Aisee sio kwa balaa hili, kwa...
  6. Sahihi Serikali kuongeza ndege nyingine tano ilihali huduma za afya bado zipo duni?

    Nimeona kwenye news kuwa serikali imefanya malipo ya ndege tano mpya. Dreamliner moja, boeing 737-9 mbili na Dash 8 q 400 moja. Malipo haya kwa haraka haraka yanakadiliwa kugharimu zaidi ya tril 1.8. Kwa jinsi watanzania wanavyohangaika kupata huduma za afya ni bora pesa hizi zingewekezwa...
  7. Kama mmefikia kuwa na hoja duni kama hizi, mtapata nafasi ya kupata sapoti tena toka kwa wananchi?

    Sasa huku ni kukengeuka au kutokuwa na watu makini maana mnashupalia hoja zisizo na mashiko kabisa na kuonekana kama majuha. Hivi rais wa JMT kupanda dege la Emirates ni hoja ya kuishupalia ili mpate kick? Sakata la Ngorongoro je? Mbona mnalielezea vingine kabisa? Sakata la Ngorongoro nalo...
  8. Ni uoga au ni uwezo duni wa waandishi wetu wa habari?

    Kwa mara nyingine tena, Rais wetu huyu Chifu Hangaya amefanya mahojiano na chombo cha habari. Nimeangalia vipande vipande kadhaa vya mahojiano hayo na sijaona swali lolote lile lililo gumu aliloulizwa huyu chifu wetu. Anaulizwa vi softballs tu. Naye anatoa majibu mepesi mepesi tu. Sijui mara...
  9. John Heche: Haji Duni na wenzake wanatumika na CCM kuua demokrasia. Mbowe hawezi kuomba msamaha kwa kosa la kubumba

    Akiongea leo, John Heche amesema kuwa "Akina Duni Haji ambao wamekuwa na historia nzuri lakini sasa wanatumika na CCM kuharibu ujenzi wa demokrasia, Freeman Mbowe hawezi kuomba msamaha kwa kesi hii ya kutengeneza"
  10. Je, wajua bei ya Tumbaku kwenye soko la duni ni kubwa kuliko chai

    Kama unataka kuingia kwenye kilimo ni muhimu kujua bei za soko za bidha unazotaka kujihusisha nazo ili kujua zao ambalo litakulipa zaidi na ukajikwamua kiuchumi Kwa takwimu zilizopo bei ya Kilo moja ya Tumbaku ni kubwa kuliko bei ya Chai. Kwa kipindi cha 2002 hadi 2021 Tumbaku iliuzwa kwa...
  11. Uliwezaje kufanikiwa ikiwa umetokea kwenye familia masikini na duni au kuanza maisha 2-0?

    Bila shaka kufanikiwa kwa mtu katika maisha inategemea mambo mengi sana na jambo mojawapo muhimu ni aina ya familia anayotoka. Kwa watu wanaozaliwa katika familia tajiri "silver spoon" zenye kipato kizuri kutokufanikiwa ni wao waamue wenyewe kuharibu ila kwa wale wanaotoka katika familia...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…