Ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa iliyotolewa siku ya Jumatatu imedokeza kuwa mitandao ya kihalifu kote Kusini Mashariki mwa Asia inategemea zaidi app ya ujumbe wa Telegram kwa ajili ya kutekeleza shughuli haramu.
Ripoti hiyo inaangazia jinsi app ya Telegram imewezesh na kufanikisha kwa kiasi...
Mkurugenzi Mtendaji wa Telegram, Pavel Durov, ameripotiwa kukubali kutoa anwani za IP na namba za simu za watumiaji app yake kwa serikali mbalimbali duniani ambazo zitaomba data za watumiaji wake.
Durov, bilionea mwenye uraia wa Urusi na Ufaransa, ambaye alikamatwa nchini Ufaransa mwezi...
Durov CEO wa Mtandao wa Telegram Alikamatwa na kunaripotiwa kuhusiana na kutodhibitiwa kwa kutosha kwenye Telegram. Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema Jumatatu kwamba kukamatwa kwa “haukuwa uamuzi wa kisiasa kwa vyovyote.” Msemaji wa polisi alifafanua kuwa uchunguzi unahusu Telegram...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.