ebay

  1. George Betram

    Nilichokiona mara ya kwanza baada ya kuagiza kitu ebay

    Nilikuwa sijawahi kufanya manunuzi ya kitu mtandaoni, kwa mara ya kwanza tarehe 5/08/2024 nilifanya manunuzi ya miwani ya macho katika mtandao wa eBay, hii ni baada ya miwani yangu kupasuka. Niliingia katika mtandao wa eBay, nikasearch aina ya miwani ninayoitaka, nilishangaa sana bei...
  2. JanguKamaJangu

    eBay kulipa Dola Milioni 59 kwa mauzo ya zana za kutengeneza dawa kinyume cha Sheria

    eBay imekubali kulipa $59m (£46.3m) kutokana na madai kuwa iliuza vifaa vinavyoweza kutengeneza dawa za kulevya. Idara ya sheria ya Marekani ilikuwa imedai kuwa maelfu ya mashine za kutengenezea vidonge na mashine za kufungia ziliuzwa kwenye tovuti, ikiwa ni pamoja na kwa watu ambao baadaye...
  3. Mad Max

    Ukinunua simu online (Mfano Ebay au AliExpress) kuipata ni bahati nasibu

    Kwema wakuu. Siku hizi ukinunua simu/smartphone online mfano kutoka China AliExpress au Ebay n.k aisee kuipata ni kubet. Zoezi zima la kununua litaenda vizuri, itatumwa, utaitrack, tatizo itakavyofika Tanzania. Aisee sijui ni Airport au Posta wanapiga. Tracking inaishia “item has arrived in...
  4. chizcom

    Paypal na ebay zinaweza kutengana kwa sababu ya ebay kupendelea mfumo wa malipo Adyen

    Kampuni ya paypal kwa habari zilizopo inakamilisha mpito wa mikataba yake ifikapo julai 3 2023. Kujiondoa na ebay swala la malipo. sababu zilizopelekea paypal mpango wa kujiondoa ni kutokana na kushuka sana mauzo ya hisa asilimia -36.23%. Hata hivo mfumo mpya mbadala utakuwa kwenye malipo ya...
  5. JZHOELO

    Jifunze njia nzuri ya kufanya manunuzi kwenye mtandao (Ebay, Amazon, Bestbuy)

    Imekuwa ni shida sana kwa watanzania wengi kununua bidhaaa katika masoko haya ya mtandaoni kwani mengi huwa hayakupi fursa ya kutumiwa mzigo wako moja kwa moja Tanzania. Baadhi ya thread zilianzishwa na zimeelezea mengi sana kuhusiana na manunuzi haya ya mtandaoni, ila tulipata ufumbuzi mdogo...
Back
Top Bottom